Kalemani arudishwe Wizara ya Nishati

Kalemani arudishwe Wizara ya Nishati

Serikali ni pana sana na kazi ya serikali ni kuhudumia wanachi wake, kuna vitu ambavyo huwa matokeo yake yanaonekana moja kwa moja na mengine sio.,kwa maana hiyo usipende sana kuitupia lawama SERIKALI ambayo kiongozi wake ni mh rais SSH.Hebu jiulize ww moyoni mwako unaitendea nini TANZANIA YETU.

Kwahiyo mgao wa umeme, wa maji, mfumuko wa bei, kuondoa ruzuku kwa wakulima wote, kufukuza wachapakazi, kuwaweka washikaji, ndugu.

Kuchoma masoko, kufukuza machinga mjini bila kuwapa alternative ya maana, Masai next, umeme, tozo, kodi lukuki, kutokemea udini, ukabila, ukanda, ubinafsi.

Kuhimiza viongozi wale kwa urefu wa kamba zao,ila wasivimbie,kutokuwa na sera, maono, serious hata kwa kitu kimoja.

Kukopa hovyo hovyo na kupeleka pesa zaidi ya 20% siku zote Zanzibar, idadi ya watu chini ya 3% ya Watz.

Kuzuzura ili kupiga picha na Wapuuzi Flani hii ndio mipango ya serikali hii, yenu kuwahudumia Watanzania.

Siitupii lawama yoyote, kila kitu kipo kwenye vyombo vya habari.

Unaniuliza nimeitendea nini Tanzania, ninalipa kodi, tozo, madeni mnayochukua, tozo,mikopo, maamuzi ya hovyo,tutayalipia sisi.

Swali zuri ni mmeitendea nini Tanzania wewe na Serikali yenu?

Mmefanya nini cha maana kwa kodi zetu, au ni posho, kusafiri, kuteuana, kupiga dili, kufanya maisha ya Watz wengi yawe magumu zaidi?
 
Kwahiyo mgao wa umeme, wa maji, mfumuko wa bei, kuondoa ruzuku kwa wakulima wote, kufukuza wachapakazi, kuwaweka washikaji, ndugu.

Kuchoma masoko, kufukuza machinga mjini bila kuwapa alternative ya maana, Masai next, umeme, tozo, kodi lukuki, kutokemea udini, ukabila, ukanda, ubinafsi.

Kuhimiza viongozi wale kwa urefu wa kamba zao,ila wavimbie,kutokuwa na sera, maono, serious hata kwa kitu kimoja.

Kukopa hovyo hovyo na kupeleka pesa zaidi ya 20% siku zote Zanzibar, idadi ya watu chini ya 3% ya Watz.

Kuzuzura ili kupiga picha na Wapuuzi Flani hii ndio mipango ya serikali hii, yenu kuwahudumia Watanzania.

Siitupii lawama yoyote, kila kitu kipo kwenye vyombo vya habari.

Unaniuliza nimeitendea nini Tanzania, ninalipa kodi, tozo, madeni mnayochukua, tozo,mikopo, maamuzi ya hovyo,tutayalipia sisi.

Swali zuri ni mmeitendea nini Tanzania wewe na Serikali yenu?

Mmefanya nini cha maana kwa kodi zetu, au ni posho, kusafiri, kuteuana, kupiga dili, kufanya maisha ya Watz wengi yawe magumu zaidi?
Umenena vyema mwenye anayeweza kupinga ni yule mwenye virusi vyakupingatu Ila Hana hoja
 
Umenena vyema mwenye anayeweza kupinga ni yule mwenye virusi vyakupingatu Ila Hana hoja

Huu mkataba wanautaka kuwa Familia moja ya kifalme ya Uarabuni (UAE) uundeshe. Sisi hatuwezi kuwa na kampuni zetu tukawapa wao asilimia fulani, wawalete watalii, lakini tukiwa majority shareholders tutaweza kujua, kuthibiti na kuhahakisha vitu vinafanywa vinavyotakiwa vifanyike.

Vitu flani vya kujiuliza:-

Mkataba utakuwa wa miaka mingapi au ni miaka 99 kama ulivyotakiwa kuwa Bagamoyo.

Tunahakikishaje hawawindi na kusafirisha Twiga, Simba, Tembo, na wanyama wengine waliopo kwenye hatari ya kutoweka kama hapo awali.

Serikali Tanzania itapata kiasi gani kupitia huu ujangili unaotaka kuruhusiwa na serikali na kupewa kibali rasmi.

Hawa Wamasai wanaofukuzwa wanapelekwa wapi, kwenye mazingira gani?

Kwanini mkataba hauwekwi wazi?
 
Mkuu nakuunga mkono,japo hata kalemani kipindi anapewa Wizara tulimchana sana hapa JF,kutokana na mgao wa umeme,View attachment 2114454
Watanzania kwa kusahau.Huyo Kalemani alikuwa waziri kwa miaka 4 na hakuna alichobadili.
Malalamiko yalikuwa kila mahali kuhusu umeme.
Tunasahau haraka au tuna kumbukumbu ya nyuki.Someni hiyo attachment.
 
Back
Top Bottom