KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Habari za Jioni wanajamvi, nimekuwa nikivutiwa kufatilia kesi mbalimbali zilizowahii kutikisa nchi. Mfano:
1. Kesi ya Babu Seya
2. Kesi ya Zombe
3. Kesi ya mauaji ya Imran Kombe
4. Kesi ya Mwalimu Mutazingira
5. Kesi ya wale jamaa walioua watu saba kwa mapanga
Katika uzi huu tutawekaa hukumu na kujaribu kujadili kuhusu ushahidi uliowatia hatian watuhumiwa.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kesi ya Babu Seya
2. Kesi ya Zombe
3. Kesi ya mauaji ya Imran Kombe
4. Kesi ya Mwalimu Mutazingira
5. Kesi ya wale jamaa walioua watu saba kwa mapanga
Katika uzi huu tutawekaa hukumu na kujaribu kujadili kuhusu ushahidi uliowatia hatian watuhumiwa.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app