Mkuu naunga mkono hoja nna subwoofer ya sumsung kiukweli nilijua mm ndo nakosea kuipangilia coz si feel music km nna vyo feel kwa rafiki yng mwenye hi fi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari za Leo? Naomba kuuliza, Tv yangu flat screen aina ya Ouling inch 32 imeharibika display pale kwenye kioo hakuna kinachotokea zai ya mistari na wino tu je inaweza kutengenezeka kwa mafundi au nijipange upya kununua nyingine?
Wanajua kua mwanasiasa ni kupinga tu, anachofanya Raisi ni sawa awape wapinzani madaraka ili tuone nao wana uwezo kiasi gani sio kucheza na maneno tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo umesimama japo chorus imetaka kwenye kwenye Show me but sio case ngoja imejaa ubunifu wa hali ya juu sijawahi kuacha kumsikiliza huyu kijana mnaosema hajiamini sijui mnamaanisha kitu gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu nashangaa kuona mtu anasema eti AEE point 7 mtu haendi chuo wkt mambo yako wazi na mifano TCU wametoa lkn watu wamekomaa na D pekee na kuna jamaa yangu mwaka Jana kaenda kwa alama hizo.
Post sent using JamiiForums mobile app
Restore simu tatizo litaondoka kbs lkn hakikisha umetoa line zako na memory card ili kinusuru vitu vyako visifutike make simu itarudi km siku uliyoitoa dukani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.