mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Kuna mtu anasema hii ngoma ka copy "show me" mwingine kasema "kama utanipenda" ya darasa. Cha ajabu wakati "show me" inatoka hakuna aliyesema inafanana na "kama utanipenda"
hahahaha umenichekesha sana.... vijana wengi huchukia vijana wenzao wanapo fanikiwa...Kuna mtu anasema hii ngoma ka copy "show me" mwingine kasema "kama utanipenda" ya darasa. Cha ajabu wakati "show me" inatoka hakuna aliyesema inafanana na "kama utanipenda"
Watu hatujui tunataka nnhahahaha umenichekesha sana.... vijana wengi huchukia vijana wenzao wanapo fanikiwa...
Kwangu mimi huu ni mmoja wa wimbo bora kabisa....
Kichaa mara nyingi humuona aliyemzima ndiye kachanganyikiwa .....hivi kweli wewe ...kwa kuwa ni mvutaji hujui ni jinsi gani umeathirika ili mambo ya wavuta bangi ni tofauti kabisa ni ya ajabu ajabu...."Ganja ni adui namba 1 wa mtanzania" duh bora hata wavuta bangi wanajua angalau adui namba 1 wa Tanzania kuliko wewe usievuta,for the record kaya haina madhara kama sigara na pombe zinazoendesha uchumi wa nchi kama vifo basi pombe na sigara viko juu sana ila kwa kua mmekariri sio mbaya ila ukiambiwa ulete madhara ya bangi hauna.
Legalize it....
Kichaa mara nyingi humuona aliyemzima ndiye kachanganyikiwa .....hivi kweli wewe ...kwa kuwa ni mvutaji hujui ni jinsi gani umeathirika ili mambo ya wavuta bangi ni tofauti kabisa ni ya ajabu ajabu....