Je kama kaonewa kwa sababu ya ushamba ni kosa lake? Kwa mfano, yeye ni mara ya kwanza kusafiri kwa ndege, pia ni mara ya kwanza kuhaidiwa kazi za huko aendako. Fikiria huyo mtu anayetumia ushamba wake kuweka madawa kwenye begi lake. INAFIKIRISHA SANA, MUNGU AWE NDIYE HAKIMU SIKU ZOTE.
utafiti mdogo, hivi wahazabe kwa nini hawalimi ili kujilinda na njaa au kupanda mbegu ili wasishinde maporini kila siku tuanzie hapo kwanza. Je? Ingekuwa wazungu ndiyo wahazabe wangekuwa wa
Pi kimaisha? Au nao wangekuwa kama wahazabe miaka yote? Akili ni ule uwezo wa kutatua changamoto...
mara nyingi bei inapanda kulingana na eneo husika na hadhi, pili bidhaa zingine ni bei kubwa kwa sababu haitengenezwi nchini. Kwa mfano hiyo pombe inawezekana ni bei sana huko nje ya nchi. Kwa mfano bei ya maji ya chupa ndogo ukinunua Pale Tandale sokoni sh 750 maji hayo hayo yakauzwa hotel ya...
Vipi kuhusu Dodoma wine, tuvipende vya kwetu. Kuhusu nyama ya mbuzi labda kuna mtu kanunua mbuzi wote na kupeleka uarabuni. Waarabu wanapenda sana nyama ya mbuzi.
Kuw
Usidharau maumivu ya meno ni hatari. Dawa za maumivu zinaficha tatizo, dawa ni kung'oa weka bandia kama unataka, pili ni kwenda kwa daktari wa meno sana sana ( hygienist) ili aangalie fizi zako kama zinashika meno vizuri. Mwisho, kama utapata infections kupitia jino siyo kesi nzuri., kwa...
Hospitali gani mzee? Maana kuna madaktari wengine na daktari. Mimi niliteguka mkono ukaangalia upande mwingine, jamaa walinipa huduma ya kwanza na kufanikisha kuurudisha sawa na maumivu yakapungua na uvimbe ukawepo. Nilipopigwa Xray nikaambiwa pako sawa na kupewa dawa za maumivu nikashangaa...
Miaka ya nyuma huko Boko jamaa walikuja mida ya saa nane usiku, tukawashtukia mapema wao hawana habari huko nje. Walikuwa kama nane, mmoja akaja karibu na dirisha langu si nikamtisha kwa maneno " hapo hapo ulipo simama" kama vile askari mwenye siraha. Eeeh! Bwana hizo mbio siyo za mwanadamu wa...
Miguu na sex kuna muingiliano mkubwa sana ndiyo maana wachezaji wa mpira ni vizuri wakawa kambini wiki nzima kabla ya mechi. Timu nyingi za Africa hazifuati sana hili.
Ukisoma vitabu vingi vya wazungu toka enzi za ukoloni walishaandika kwamba blacks can never manage themselves. Walishaona na kuishi nao. Sisi ni aina tofauti ya binadamu, siyo waungwana, si wakweli n.k ndiyo maana tunasachiwa sana huko kwenye viwanja vya ndege vya watu.
Kwanza kabla sijachangia chochote ningependa kujua kama wajane wa raisi stahiki zao zikoje kutoka serikalini? Tumezoea mjane mmoja je hawa wawili stahiki zao zikoje? Nusu kwa nusu au mke wa pili serikali haimtambui kwenye stahiki zake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.