Miguu na sex kuna muingiliano mkubwa sana ndiyo maana wachezaji wa mpira ni vizuri wakawa kambini wiki nzima kabla ya mechi. Timu nyingi za Africa hazifuati sana hili.
Ukisoma vitabu vingi vya wazungu toka enzi za ukoloni walishaandika kwamba blacks can never manage themselves. Walishaona na kuishi nao. Sisi ni aina tofauti ya binadamu, siyo waungwana, si wakweli n.k ndiyo maana tunasachiwa sana huko kwenye viwanja vya ndege vya watu.
Kwanza kabla sijachangia chochote ningependa kujua kama wajane wa raisi stahiki zao zikoje kutoka serikalini? Tumezoea mjane mmoja je hawa wawili stahiki zao zikoje? Nusu kwa nusu au mke wa pili serikali haimtambui kwenye stahiki zake?
Kweli kabisa, wengi wako hivyo upweke wa nguvu. Watoto walisha anza kivyao. Wazee wa ulaya wana marafiki wa kupotezea muda kama vile kuimba kwaya, wale walevi kushinda bar. Na wapenda kusafiri kuishia trip kusafiri kwenye meli za utalii. Uzee ni baraka na bahati ya wachache. Hongera kwake. Huyo...
Sisi wenyewe ndiyo tunajidharau kwanza, timu zetu bila kutumia kocha mzungu tunajiona hatuwezi. JPM alituamsha kwamba tunaweza. Tabia zetu ni tofauti na wengine. Wenzetu wanawekeza sana kwenye tafiti na zinafanyika ki kweli. Sasa uje siye ipe taasisi pesa za utafiti, itaishia kwenye mifuko ya...
Hivi tungekuwa china ya mkoloni mzungu, mshahara ungekuwa sh. Ngapi? Na huduma za jamii zingekuwaje? Mimi bado naota hizo ndoto je tungekuwa wapi? Kujitawala wenyewe bado sana. Mfanyakazi ni injini ya taifa, mfanyakazi akiwa na furaha taifa linafuraha.
Ningependekeza kima cha chini kiwe...
Try deep breathing, meditation and yoga during those bad days. I have extracted this information from EVERYDAY HEALTH stress managelent website, i hope this will help you. It seems your issue is very common from 15 to 49 years of age woman. GOD BLESS YOU.
Tatizo ni soko na upatikanaji wa maji ya uhakika ya umwagiliaji.Misri soko lao kubwa ni ulaya na siyo mbali kwa usafirishaji wa mazao, wana uhakika wa maji ya kumwagilia kutoka mto Nile.hata kama huna mtaji ni rahisi kwa benki kukukopesha. Tuje huku kwetu masoko yako wapi? Je inalipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.