Recent content by Kikusya

  1. Kikusya

    ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

    Waweke picha ya wagombea kila mtu na mpiga kura wake, kila mtu ataona nani anamstari mrefu wa wapiga kura. Mwenye mstari mrefu zaidi ndiyo mshindi.
  2. Kikusya

    Baada ya sex, miguu yangu huishiwa nguvu

    Miguu na sex kuna muingiliano mkubwa sana ndiyo maana wachezaji wa mpira ni vizuri wakawa kambini wiki nzima kabla ya mechi. Timu nyingi za Africa hazifuati sana hili.
  3. Kikusya

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    Ukisoma vitabu vingi vya wazungu toka enzi za ukoloni walishaandika kwamba blacks can never manage themselves. Walishaona na kuishi nao. Sisi ni aina tofauti ya binadamu, siyo waungwana, si wakweli n.k ndiyo maana tunasachiwa sana huko kwenye viwanja vya ndege vya watu.
  4. Kikusya

    Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

    Kwanza kabla sijachangia chochote ningependa kujua kama wajane wa raisi stahiki zao zikoje kutoka serikalini? Tumezoea mjane mmoja je hawa wawili stahiki zao zikoje? Nusu kwa nusu au mke wa pili serikali haimtambui kwenye stahiki zake?
  5. Kikusya

    Tusijenge majumba makubwa tukistaafu yanachangia upweke

    Kweli kabisa, wengi wako hivyo upweke wa nguvu. Watoto walisha anza kivyao. Wazee wa ulaya wana marafiki wa kupotezea muda kama vile kuimba kwaya, wale walevi kushinda bar. Na wapenda kusafiri kuishia trip kusafiri kwenye meli za utalii. Uzee ni baraka na bahati ya wachache. Hongera kwake. Huyo...
  6. Kikusya

    Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

    Sisi wenyewe ndiyo tunajidharau kwanza, timu zetu bila kutumia kocha mzungu tunajiona hatuwezi. JPM alituamsha kwamba tunaweza. Tabia zetu ni tofauti na wengine. Wenzetu wanawekeza sana kwenye tafiti na zinafanyika ki kweli. Sasa uje siye ipe taasisi pesa za utafiti, itaishia kwenye mifuko ya...
  7. Kikusya

    Mke wangu kamuambia mchepuko wake hajaolewa

    Kama vipi wanandoa tuwekeane alama usoni kama wahindi. Ila wahindi wanawekea alama wake zao wenyewe hakuna.
  8. Kikusya

    TRA Jiridhisheni na kipato cha Mwijaku

    Kuna yule alisema hiyo ni chenji tu, je ulisema lolote au ulikuwa bado hauna simu ya tachi?
  9. Kikusya

    Kwanini watanzania wanapenda ukuta na mageti?

    Ni matukio yanatufundisha tabia. Na wewe utajifunza tukio likikupata.
  10. Kikusya

    Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

    Dar ni jiji la biashara, ukishindwa unaanzisha mkoani. Si sawa na unalazimisha kukaa London wakati kipato kidogo.
  11. Kikusya

    Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

    Hivi tungekuwa china ya mkoloni mzungu, mshahara ungekuwa sh. Ngapi? Na huduma za jamii zingekuwaje? Mimi bado naota hizo ndoto je tungekuwa wapi? Kujitawala wenyewe bado sana. Mfanyakazi ni injini ya taifa, mfanyakazi akiwa na furaha taifa linafuraha. Ningependekeza kima cha chini kiwe...
  12. Kikusya

    Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

    Uwingi siyo tatizo, mkoa wenye pesa ndiyo wenye maamuzi. Kutegemea serikali kukuletea maendeleo utasubiri sana.
  13. Kikusya

    Msaada: Period (hedhi) inanitesa

    Try deep breathing, meditation and yoga during those bad days. I have extracted this information from EVERYDAY HEALTH stress managelent website, i hope this will help you. It seems your issue is very common from 15 to 49 years of age woman. GOD BLESS YOU.
  14. Kikusya

    Misri ni jangwa 96% lakini Inaongoza Afrika kwa kuzalisha ngano, maembe, nyanya, machungwa, zabibu, viazi nk. Waafrika Tunajifunza nini?

    Tatizo ni soko na upatikanaji wa maji ya uhakika ya umwagiliaji.Misri soko lao kubwa ni ulaya na siyo mbali kwa usafirishaji wa mazao, wana uhakika wa maji ya kumwagilia kutoka mto Nile.hata kama huna mtaji ni rahisi kwa benki kukukopesha. Tuje huku kwetu masoko yako wapi? Je inalipa...
Back
Top Bottom