Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Mimi naamini akili tunazo lakini hakuna kusupportiana huku Africa. Mfano huku Tz kuna maengineer lakini mpaka leo barabara zetu wanajenga wachina.
Kushindwa kusapotiana nayo pia ni ukosefu wa akili, umezunguka lakini kiaina umekubali kuwa Waafrika hamna akili kabisa.
 
Tunamaugnduzi mengi tunayo sema nn wazungu hawataki kutu appreciate kitendo cha kupaa na ungo bila adhari zozote ni ugunduzi wazungu waksema hyo ni uchawi ili mandenge yao yasikose wateja ila ni njia bora sna ya kusafiri hii iaharamishwe
Hapo umeudhihirisha ukosefu wa akili unaozungumziwa kwa mfano halisi kabisa
 
hatuna akili au tunaonekana hatuna akili kwa sababu hatufwati meritocracy, angalia mfano mkuu wa trc alivyo vizuri ni kwa sababu meritocracy ilitumika akapata hiyo position huo ni mfano tu, sasa ilitakiwa iwe hivyo kila mahali hapo ungeona matunda yake, lkn hatufwati meritocracy na imekwenda mbali kiasi kwamba sasa hivi anayefaulu sana anachekwa …
Unahangaika kutafuta excuses lakini maelezo yako ndiyo kabisa yanadhihirisha ukosefu wa akili.
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Hatutaki kutumia akili. Si unaona wale wazee wa TFF. watu wenye akili walikaa wakatunga kanuni kwa kutumia akili wenyewe hawazitaki wanataka kutumia busara ambayo nina uhakika wakiambiwa wataje mipaka ya busara hawawezi.
 
Unahangaika kutafuta excuses lakini maelezo yako ndiyo kabisa yanadhihirisha ukosefu wa akili.

kama ingekuwa ni hivyo iweje waafrika wengi tu wako successful nje ya afrika kama hawana akili hizo good high paying jobs wanazipataje?
 
utafiti mdogo, hivi wahazabe kwa nini hawalimi ili kujilinda na njaa au kupanda mbegu ili wasishinde maporini kila siku tuanzie hapo kwanza. Je? Ingekuwa wazungu ndiyo wahazabe wangekuwa wa
Pi kimaisha? Au nao wangekuwa kama wahazabe miaka yote? Akili ni ule uwezo wa kutatua changamoto zinazokuzunguka ili uishi vizuri, na siyo darasani.
 
Hatutaki kutumia akili. Si unaona wale wazee wa TFF. watu wenye akili walikaa wakatunga kanuni kwa kutumia akili wenyewe hawazitaki wanataka kutumia busara ambayo nina uhakika wakiambiwa wataje mipaka ya busara hawawezi.
Haaahaa we jamaa umeenda mbali sana. uo ndo ukweli japo najua kuna watakaokupinga hadi kesho.
 
Unazungumzia Technology wakati kushusha tu makontena bandarini tunawapa wageni kwa fedha kidogo tunashindwa...
 
Haaahaa we jamaa umeenda mbali sana. uo ndo ukweli japo najua kuna watakaokupinga hadi kesho.
Sisi tunaendeshwa kwa hisia na mihemko ya mwili. Yaani hata mtu ofisini akikosolewa kidogo badala ya kurekebisha anachokosolewa ataanza kusema unanifundisha kazi. Anasahau mafunzo kwenye maisha hayana mwisho. Matumizi ya akili sisi tumeyakataa. Tunasubiri manabii na waganga walete miujiza.
 
Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi

Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana

Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Urogi hauwezi kumpata mtu,hadi mungu atake.
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Unafeli somo la kilimo ila unafaulu kiingereza, unaongea kiingereza kizuri kuliko wenye lugha ila tumbo lina njaa. Hiyo ni akili?
 
Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi

Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana

Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Nafikiri Adam na Eva walikuwa wazungu, Waafrika sijui wametokana na nini!! Labda ni kizazi cha "Darwinism theory "
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Ni watu wa kushangaa shangaa tu na kudharau utamaduni wetu. Angalia bara la Afrika lilivyo tajiri ila watu ni masikini. Hiyo ndio inayoonyesha kuwa hatuna akili.
 
Kwani hujui kama waafrika hatuna akili mm nakushangaa sana ,subirini wazungu wanakuja kuzichukua tena ,muone Traore na wenzake wamejitambua ktk makucha ya wakoloni.
 
Ni watu wa kushangaa shangaa tu na kudharau utamaduni wetu. Angalia bara la Afrika lilivyo tajiri ila watu ni masikini. Hiyo ndio inayoonyesha kuwa hatuna akili.
Kipimo cha akili ndogo za Waafrica, ni hiki. Anatokea mwarabu, msomali, mhindi, mzungu au mchina fulani, anahamia kijijini ndani ndani tu huko. Baada ya miaka mitatu, minne, mitano, anakusanya utajiri wa kutosha hapo hapo kijijini, anahamia mjini mkoani, labda Mwanza, Dsm Arusha nk. Baada ya miaka mitatu minne, mitano,anahamia London, au New York, au Brisbane na kuanzisha mpaka makampuni. Mwafrica wa kijijini bado yuko hapo hapo kijini na pombe zake na hirizi zake na jando na unyago vyake. Hili nimelifanyia utafiti. Akili zetu zina kasoro na upungufu mkubwa.
Ni watu wa kushangaa shangaa tu na kudharau utamaduni wetu. Angalia bara la Afrika lilivyo tajiri ila watu ni masikini. Hiyo ndio inayoonyesha kuwa hatuna akili.
 
Back
Top Bottom