Recent content by Kikombe1

  1. Kikombe1

    Hivi kumbe uwanja wa Mkwakwani ni wa CCM?

    Kuna tatizo gani
  2. Kikombe1

    Tuelimishane: mazishi ya Membe yamebeba sura ya msiba wa kiongozi mkubwa Kiitifaki. Nini maana yake

    Mzee Mwinyi aliwahi kusema maisha ni kama uandishi wa kitabu.
  3. Kikombe1

    Nani atakuwa Mgombea Mwenza wa Samia mwaka 2025?

    So what is your position
  4. Kikombe1

    Wadau wahoji uhalali wa Daraja la Tanzanite kuwa bure huku la Kigamboni likiwekewa Tozo

    Mradi wa daraja la Nyerere lenye urefu wa mita 680, upana wa mita 32 ulizinduliwa na na kuanza kutumika rasmi tarehe 19 Aprili 2016 ambapo inakadiriwa kutumia kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 300. Mradi unamilikiwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania ( 40%) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...
  5. Kikombe1

    Urafiki na Rwanda vs Urafiki na Kenya upi una Manufaa Kwa Tanzania?

    Jibu ni simple. Rwanda ni nchi ndogo na haina uchumi mkubwa kulingana na Kenya.
  6. Kikombe1

    Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

    (2) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi anayetokana na chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi Bungeni au kama hakuna chama cha siasa chenye Wabunge wengi...
  7. Kikombe1

    GE2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

    Hongera sana Mh. Mbowe. Mchezo wa siasa ni kushinda au kushindwa. Wananchi wamesema sasa basi. CCM imeshinda kwa kishindi Jimbo la Hai
  8. Kikombe1

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ukishakuwa na beach hakuna wa kukushinda
  9. Kikombe1

    GE2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

    Usiwe na wasiwasi. Hakuna kipindi ambacho nchi yetu ipo imara kama sasa. Watapata aibu na Amsterdam wao
  10. Kikombe1

    Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

    Kweli lakini amesahau kuwa CCM ina hazina ya viongozi.
Back
Top Bottom