Mradi wa daraja la Nyerere lenye urefu wa mita 680, upana wa mita 32 ulizinduliwa na na kuanza kutumika rasmi tarehe 19 Aprili 2016 ambapo inakadiriwa kutumia kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 300. Mradi unamilikiwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania ( 40%) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...
(2) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi anayetokana na chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi Bungeni au kama hakuna chama cha siasa chenye Wabunge wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.