Kama umeshindwa hata kujua wapi unatakiwa kuweka hii thread yako. Hilo group mbona litakua na changamoto sana?? Na hayo mambo yote uliyoyaorodhesha hapo utafanya mwenyewe au??🧐🤔🤔
Nimepitia comment zote, naomba ufafanuzi toka kwako mleta mada. Ni kipi kinahitajika kusajiliwa na kutolewa leseni kati ya Brela, BOT, na halmashauri kwa kigezo cha mtaji na aina ya biashara (microcredit)
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu mimi naomba kujua ni vibali gani hasa vinahusika kwenye hili. Ninafanya hii kitu japo kilocal sana na kwa watu wachache sana huku kwetu japo naifanya friendly sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya tafiti ndogo ujue huo mtaa una mashabiki wengi wa timu gani then uite jina la uwanja wao. Mfano kama mashabiki wengi wa Chelsea basi uite Stanfordbridge.
Hongera kwa ulichokifanya.
Dah!! Kiukweli trend line bangua kichwa nimekomaa nayo siku nne mfululizo aisee leo nimegusa Pivot point duuh nayo ni sheeda. Complex ukipata mdhamini wa kutufanyia upembuzi yakinifu kwenye hili naomba unishirikishe mkuu.
Shukrani sana wakuu sisi wengine tunakamua tu vitabu na kupitia mawazo yenu, Bavaria Viking, Ontario mnanipa inspiration ya hali ya juu sana nikiona mnavyotoa maujuzi yenu humu naamini nami one day ntakua nawapa lesson wadau wengine. Mbarikiwe sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.