Kama upo serious

Kama upo serious

Kama umeshindwa hata kujua wapi unatakiwa kuweka hii thread yako. Hilo group mbona litakua na changamoto sana?? Na hayo mambo yote uliyoyaorodhesha hapo utafanya mwenyewe au??🧐🤔🤔
 
Kama umeshindwa hata kujua wapi unatakiwa kuweka hii thread yako. Hilo group mbona litakua na changamoto sana?? Na hayo mambo yote uliyoyaorodhesha hapo utafanya mwenyewe au??
Ndio maana naangalia watu wenyewe kama watalipokeaje ila naona mnaringaa kama nini mnyodo kiufupi basi bakini mlivyo.
 
Ndio maana naangalia watu wenyewe kama watalipokeaje ila naona mnaringaa kama nini mnyodo kiufupi basi bakini mlivyo.
Tushikiane wawili achana na hao wengine wenye nyodo.
Mimi plan yangu ni kutoa bangi ngaramtoni ya juu kupeleka Dar wewe yako ni ipi?
 
Back
Top Bottom