naandika na kufuta cjui nn nikoment kwa hali ilivyo ucku huu joto ni kali umeme hakuna,inaumiza sana 2024 still Tz tunashida ya umeme wakati tunachanzo kikubwa cha uzalishaji bwawa la MJK
Kwanza pole na huo mtihani,pili sababu Nyeto ndio iliokumaliza ivo achana na nyeto. fanya mazoezi asbh atlist nusu saa u lisaa kuweka mwil sawa sababu iyo haina mfupa iyo c unajua ni misuli
jieshimu wewe babu,acha kuongea ujinga ndoa makubaliano baina ya pande mbili na mnaposhindwa uislam haukufanya ndoa kuwa kifungo chamaisha uteseke mpaka ufe.acha kuongea upumbavu
hayo unayo yaona yakawaida,hata wangekuwa boyfriend na girlfriend hupishana,kisha wakasove yakaisha Ktk dunia tulionayo kupishana kupo mwisho hukaa na kujuta kisha mkaombana radhi
yakawa
Mapenzi kiongozi hayaingiliwi,ila ktk mahusiano hasa mwanamke akiwa ktk hali ya mimba na ww ulipata changamoto ya kazi lazima mvurugano utatokea ndio maana dini inasema mwanamke akiwa ktk ujauzito haachwi mpaka azae kwasababu huwa ktk wakat mgumu kimwili na kiakili.
never give up madhali unakaz komaa,je ungekuwa mjasilia mali na biashara haitok? ivo mshukuru Mungu ktk maisha kunapanda na kushuka,usiache kumuomba Mungu uwe na moyo wa subira yataisha ayo piga kazi usikate tamaa
DPP kashakula ela,ndio maana kafuta kesi. unafutaje kesi wakat mtu kanajisiwa kwa chupa? nn maana haki mahakani? angekuwa kijana wake DPP anajisiwe kwa chupa angefuta kesi?
ushauri wa bure ndugu yangu,kukopa harusi kulipa ni matanga miaka 9 ni mingi mnoo kama unauwezo dunduliza pesa yako,nnamkopo wa miaka 4 naliona joto lake nilikopa nikaekeza ktk biashara,plani ikaenda mrama nalipa uku nnaumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.