nguvu gani imetumika?mama anaumwa hujawah mpost even once afu unatak kushawish umma kuwa haujalaaniwa,kwa umri wako hukutakiww kuwa hivyo,kitu cha kushangaza ni kwamba kila ovu lazima ulitetee tu,kuanzia bashite vyeti,bashite magari,bashite roma mpka bashite lissu.Kwann unatumia nguvu sana...
alitangulia sawa ila kabla ya kutangulia kwake hujawahi kuonesha kujali uwepo wa mama zaidi ya kuendelea kupost wanawake wa watu,na huyo mange unayejinasibu kushindana naye hamfanan kuanzia ujengaji hoja mpaka kuungwa mkono,kitu pekee ulichompita ni uwezo wa shati lako kufunika vits na kugawa...
Duuh afu linajitia utajiri kumbe mama anaish kimaskini mno,mpaka anakufa jamaa aliona aibu kwenda na wadau akaishia kwend pekee kuficha fedheha,laana inamuandama na kAmwe hatofanikiwa
daa inasikitisha sana,juhud kubwa zinafanyika kuondosha ukwel wa tukio la lissu,kwanza kwa tukio lenyewe la kushambuliwa kwa major tena kwa namna inayofanana na ile ya lissu(kututoa mjadalani ili tuone ni majambaz ndo yalimdungua lissu) pili kumtumia dereva kuwezesha upatikanaji wa...
zaman kidogo kwenye radio kulikua na vipindi vya kutuma salam halafu mwisho unamchagulia nyimbo ya kusikiliza,SASA WEWE NAKUCHAGULIA NYIMBO YA MAKU BY NAY WA MITEGO UBURUDIKE NAYO
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.