Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Le vidorez..yaani ukashondwa kupiga ata mzinga kwa jamaa zako ukamjengea mama ako

Dah inasikitisha sana and no wonder why umekuwa nuksi kiasi hicho.

Huyu mama yako mzazi amekulaani ww..omba toba sio usingizie ndugu zako

View attachment 587045
Duuh afu linajitia utajiri kumbe mama anaish kimaskini mno,mpaka anakufa jamaa aliona aibu kwenda na wadau akaishia kwend pekee kuficha fedheha,laana inamuandama na kAmwe hatofanikiwa
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Jisemee wewe na nafsi yako labda na Bashite!

Teh teh teh
 
Duuh afu linajitia utajiri kumbe mama anaish kimaskini mno,mpaka anakufa jamaa aliona aibu kwenda na wadau akaishia kwend pekee kuficha fedheha,laana inamuandama na kAmwe hatofanikiwa

- hahahahahaha Mama yangu alishatangulia kwenye haki na maisha yake hayakuhusu yanamuhusu Mungu wake, hahahaha umenivunja sana mbavu hahahahah sema lingine hili wala halina nguvu kama ulivyotegemea hahahahaha

le Mutuz
 
- hahahahaa mlevi hudhani wengine wote ni kama yeye so unatuambia jinsia yako ili iwe nini mkuu sana? hahahahaha kumbe ndio mambo yako hayo? duh! hahahaha

le Mutuz
mkuu ishu ya kwamba wewe unatoa tigo nimeiona kwa Mange Kimambi. kwahiyo unanionea tu, ndio maana mwanzoni nikasema sijui kama ni jambo la kweli au ni wabaya wako tu wanakuchafua? ila wewe ndio unaujua ukweli.
 
- Sijakuelewa kuwa namba one wa sasa anahusika na kifo cha Chacha Wangwe au Dr. Mwekyembe kuwekewa sumu au kuuliwa kwa Mtikila au what?

le Mutuz

MWAKYEMBE Hakuna kesi alofungua na hana uthibitisho. yeye alikua waziri alikua na uwezo wa kuchukua hatua hakufanya hivyo sababu ni ishara ya cancer ya ngozi ambayo ameiwahi
hivi kwa akili yako ndogo wewe unafikiri kama Cha Wangwe kauliwa na Chadema then hawa ccm wangebaki bila kufanyia kazi uchunguzi wake ? wangeleta mpaka Scortland yard kuchunguza ili waimalize CDM.
uchunguzi haukufanywa kwani ingewaumbua watu waliofanya accident ile ili kuwagonganisha CDM.
Hii ni principle ya wagawe uwatawale...na kweli mara baada ya ajali ile kampeni chafu ilianza lakini wananchi wa Tarime wanaelewa nani adui wao...
kiti kile cha bunge mtakisikia tu.

haya ya Mtikila mtajua nyie kwani yeye alikua ni critical wa CCM tangu Enzi
Filikunjombe naye aliondoka ni mwiba kwa mafisadi ndani ya ccm ..kama ajali au kusudi Mungu ndio anajua
 
Acha porojo wew, Mwangosi aliuliwa juzi tu na sio mwaka ulioandika wew. Mbona mlivyomteka Roma afu mkasimama kweny vyombo vya habar na kusema kabla ya j2 atapatikana na alipatikana kweli, tumia akili kufikiria,
 
Mange alinichekesha na ile story ya dogo aloenda kutengeneza computer kwny ofis ya bwana madole af jamaa likaanza kumtega dogo akaamua alichumishe mboga zee la degree 3..... Imagine zee linavomtega dogo linafanyaje ha ha ha haaaa
 
- Sasa kama una ushahidi wote huu kwa nini usiupeleke Polisi au the Haque maana inaeonekana unayajua vizuri na yote na wahusika, duh!

le Mutuz
Mkuu umetoa mada ,tunaijadili unaleta hasira,next time think twice before ,usifikirie watanzania wa sasa hawajui jinsi gani nchi yao inavyoendeshwa,again this country belong to all of us not the selected ones,leaders will came and go but ccm na Tanzania itaendelea kuwepo ila history itakuja kutuhukumu,ni nini umeifanyia nchi yako not other way round,The Hague siendi siwezi kwenda kuanika nguo zangu za ndani nje,polisi ninajua wapi waliko huna haja ya kuniambia.
 
Mkuu umetoa mada ,tunaijadili unaleta hasira,next time think twice before ,usifikirie watanzania wa sasa hawajui jinsi gani nchi yao inavyoendeshwa,again this country belong to all of us not the selected ones,leaders will came and go but ccm na Tanzania itaendelea kuwepo ila history itakuja kutuhukumu,ni nini umeifanyia nchi yako not other way round,The Hague siendi siwezi kwenda kuanika nguo zangu za ndani nje,polisi ninajua wapi waliko huna haja ya kuniambia.

- karibu sana ila kwa ushahidi wote uliouandika ni vyema ungeufikisha panapotakiwa, lakini nimekusikia sana loud and clear!

le Mutuz
 
Mange alinichekesha na ile story ya dogo aloenda kutengeneza computer kwny ofis ya bwana madole af jamaa likaanza kumtega dogo akaamua alichumishe mboga zee la degree 3..... Imagine zee linavomtega dogo linafanyaje ha ha ha haaaa

- I know maana ni hadithi uliyokwisha wahi kuifanya sasa unadhani wewe na Mange kila mtu ni mjinga kama mlivyo, yaani anatumia ID zake 100 kujiandikia mwenyewe ili anichafue kumbe kakosea kaanza kumchafua marehemu baba yake aliyefanyiwa na wanaume 10, hahahaha ndio maana amenyamaza maana ile doze haimezeki hahahahaha

le Mutuz
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Mkuu tupe update, nafikiri you have an ear to the ground!!!!
Nasikia dereva wa Nissan Nyeupe kakamatwa au vjimaneno tu?
 
Acha porojo wew, Mwangosi aliuliwa juzi tu na sio mwaka ulioandika wew. Mbona mlivyomteka Roma afu mkasimama kweny vyombo vya habar na kusema kabla ya j2 atapatikana na alipatikana kweli, tumia akili kufikiria,

- Sasa mbona Roma alipopewa nafasi anashindwa kusema yaliyompata eti alipatwa na nini hasa maana unaonekana unajua sana!

le Mutuz
 
mkuu ishu ya kwamba wewe unatoa tigo nimeiona kwa Mange Kimambi. kwahiyo unanionea tu, ndio maana mwanzoni nikasema sijui kama ni jambo la kweli au ni wabaya wako tu wanakuchafua? ila wewe ndio unaujua ukweli.

- hahahaha Mange alitakiwa kumuongelea baba yake mzazi ambaye ushahidi upo kuliko kutengeneza ushahidi wa uongo against mtu kama mimi, tena infact marehemu BABA yake alibakwa na wanaume 10 so imagine angekuwa ni baba yako kafanyiwa hivyo si unafikia mahali unadhani kila mtu ni kama baba yako hahahahahaha

le Mutuz
 
MWAKYEMBE Hakuna kesi alofungua na hana uthibitisho. yeye alikua waziri alikua na uwezo wa kuchukua hatua hakufanya hivyo sababu ni ishara ya cancer ya ngozi ambayo ameiwahi
hivi kwa akili yako ndogo wewe unafikiri kama Cha Wangwe kauliwa na Chadema then hawa ccm wangebaki bila kufanyia kazi uchunguzi wake ? wangeleta mpaka Scortland yard kuchunguza ili waimalize CDM.
uchunguzi haukufanywa kwani ingewaumbua watu waliofanya accident ile ili kuwagonganisha CDM.
Hii ni principle ya wagawe uwatawale...na kweli mara baada ya ajali ile kampeni chafu ilianza lakini wananchi wa Tarime wanaelewa nani adui wao...
kiti kile cha bunge mtakisikia tu.

haya ya Mtikila mtajua nyie kwani yeye alikua ni critical wa CCM tangu Enzi
Filikunjombe naye aliondoka ni mwiba kwa mafisadi ndani ya ccm ..kama ajali au kusudi Mungu ndio anajua

- umesema maneno mengi sana ambayo sikutegemea ila nashukuru kwa kunifungua macho maana umesema mengi sana ambayo hayahusu!

le Mutuz
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
We gasho usilete upuuzi wako wakati ngapu mwenzio DAB na magogoni wameshiriki jaribio hili lililoshindwa
 
Back
Top Bottom