Duuh afu linajitia utajiri kumbe mama anaish kimaskini mno,mpaka anakufa jamaa aliona aibu kwenda na wadau akaishia kwend pekee kuficha fedheha,laana inamuandama na kAmwe hatofanikiwaLe vidorez..yaani ukashondwa kupiga ata mzinga kwa jamaa zako ukamjengea mama ako
Dah inasikitisha sana and no wonder why umekuwa nuksi kiasi hicho.
Huyu mama yako mzazi amekulaani ww..omba toba sio usingizie ndugu zako
View attachment 587045
Jisemee wewe na nafsi yako labda na Bashite!EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Duuh afu linajitia utajiri kumbe mama anaish kimaskini mno,mpaka anakufa jamaa aliona aibu kwenda na wadau akaishia kwend pekee kuficha fedheha,laana inamuandama na kAmwe hatofanikiwa
mkuu ishu ya kwamba wewe unatoa tigo nimeiona kwa Mange Kimambi. kwahiyo unanionea tu, ndio maana mwanzoni nikasema sijui kama ni jambo la kweli au ni wabaya wako tu wanakuchafua? ila wewe ndio unaujua ukweli.- hahahahaa mlevi hudhani wengine wote ni kama yeye so unatuambia jinsia yako ili iwe nini mkuu sana? hahahahaha kumbe ndio mambo yako hayo? duh! hahahaha
le Mutuz
- Sijakuelewa kuwa namba one wa sasa anahusika na kifo cha Chacha Wangwe au Dr. Mwekyembe kuwekewa sumu au kuuliwa kwa Mtikila au what?
le Mutuz
Huyo walimharibu kwenye ubaharia mzee hana breki wala handbrake,vijana wa twn wanajisevianasikia huyu mzee sio riziki. sasa sijui ni kweli au ni wabaya wake tu wanamchafua.
Mkuu umetoa mada ,tunaijadili unaleta hasira,next time think twice before ,usifikirie watanzania wa sasa hawajui jinsi gani nchi yao inavyoendeshwa,again this country belong to all of us not the selected ones,leaders will came and go but ccm na Tanzania itaendelea kuwepo ila history itakuja kutuhukumu,ni nini umeifanyia nchi yako not other way round,The Hague siendi siwezi kwenda kuanika nguo zangu za ndani nje,polisi ninajua wapi waliko huna haja ya kuniambia.- Sasa kama una ushahidi wote huu kwa nini usiupeleke Polisi au the Haque maana inaeonekana unayajua vizuri na yote na wahusika, duh!
le Mutuz
Mkuu umetoa mada ,tunaijadili unaleta hasira,next time think twice before ,usifikirie watanzania wa sasa hawajui jinsi gani nchi yao inavyoendeshwa,again this country belong to all of us not the selected ones,leaders will came and go but ccm na Tanzania itaendelea kuwepo ila history itakuja kutuhukumu,ni nini umeifanyia nchi yako not other way round,The Hague siendi siwezi kwenda kuanika nguo zangu za ndani nje,polisi ninajua wapi waliko huna haja ya kuniambia.
Mange alinichekesha na ile story ya dogo aloenda kutengeneza computer kwny ofis ya bwana madole af jamaa likaanza kumtega dogo akaamua alichumishe mboga zee la degree 3..... Imagine zee linavomtega dogo linafanyaje ha ha ha haaaa
Mkuu tupe update, nafikiri you have an ear to the ground!!!!EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Acha porojo wew, Mwangosi aliuliwa juzi tu na sio mwaka ulioandika wew. Mbona mlivyomteka Roma afu mkasimama kweny vyombo vya habar na kusema kabla ya j2 atapatikana na alipatikana kweli, tumia akili kufikiria,
mkuu ishu ya kwamba wewe unatoa tigo nimeiona kwa Mange Kimambi. kwahiyo unanionea tu, ndio maana mwanzoni nikasema sijui kama ni jambo la kweli au ni wabaya wako tu wanakuchafua? ila wewe ndio unaujua ukweli.
Mkuu tupe update, nafikiri you have an ear to the ground!!!!
Nasikia dereva wa Nissan Nyeupe kakamatwa au vjimaneno tu?
MWAKYEMBE Hakuna kesi alofungua na hana uthibitisho. yeye alikua waziri alikua na uwezo wa kuchukua hatua hakufanya hivyo sababu ni ishara ya cancer ya ngozi ambayo ameiwahi
hivi kwa akili yako ndogo wewe unafikiri kama Cha Wangwe kauliwa na Chadema then hawa ccm wangebaki bila kufanyia kazi uchunguzi wake ? wangeleta mpaka Scortland yard kuchunguza ili waimalize CDM.
uchunguzi haukufanywa kwani ingewaumbua watu waliofanya accident ile ili kuwagonganisha CDM.
Hii ni principle ya wagawe uwatawale...na kweli mara baada ya ajali ile kampeni chafu ilianza lakini wananchi wa Tarime wanaelewa nani adui wao...
kiti kile cha bunge mtakisikia tu.
haya ya Mtikila mtajua nyie kwani yeye alikua ni critical wa CCM tangu Enzi
Filikunjombe naye aliondoka ni mwiba kwa mafisadi ndani ya ccm ..kama ajali au kusudi Mungu ndio anajua
We gasho usilete upuuzi wako wakati ngapu mwenzio DAB na magogoni wameshiriki jaribio hili lililoshindwaEXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
We gasho usilete upuuzi wako wakati ngapu mwenzio DAB na magogoni wameshiriki jaribio hili lililoshindwa