Recent content by kijiweni jr

  1. K

    Miaka 25 ni mingi sana mtu kuwa bado hujakaa kwenye mfumo kimaisha?

    kila nikitafasiri komenti zako inanijia picha kua wewe ni mtu safi sana na mwenye huruma,Mungu akufanyie wepesi kazi za mikono yako wewe na kizazi chako
  2. K

    Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

    sema kuna mwanasheria aliwahi kunishauri..
  3. K

    Video: Yadaiwa Samaki Mtu (Nguva) aonekana ufukweni

    Na ili ujue maswala ya samaki NGUVA ni stories za kufikirika haijawahi hata siku moja akaonekana NGUVA wa KIUME,sikuzote anaonekana wa KIKE TUU..tafakar chukua hatua
  4. K

    Meditation in your daily routine

    samahani mkuu mshana Jr,unaweza jua sehemu ya kujifunza meditation kwa jiji la dodoma
  5. K

    Story behind your date of birth

    Tiririka juu ya future yangu mkuu mzizi mkavu
  6. K

    Story behind your date of birth

    mkuu mzizi mkavu..japo Uzi ni wa kutambo kidogo ila Mimi nimezaliwa tarehe 01/01 hebu tiririka mkuu wangu
  7. K

    Baba alinijali lakini hadi leo sijamzoea kama mama, bado sijamzoea, nini tatizo?

    mkuu kwenu wewe ni wangapi kuzaliwa!?.. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Trump

    l Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    mkuu unaweza nie,haurii Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Ndo nini hicho mkuu unaweza kuelezea kidogo kama usipojal Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Hahahahaha umenichekesha sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Hahahahaha umenichekesha sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    mkuu tunafanana sana: Mimi mwaka 2010 wakati npo chuo cha cbe dar mzee wangu alikua anaumwa amelazwa muimbili hospital. Ilikua Mara kwa Mara haipiti wiki lazima nimuote mzee wangu amefariki,basi nlikua nalia sana tena sana ukumbuke nipo ndotoni nikistuka najikuta ninamachozi mengi sana. Basi...
Back
Top Bottom