kila nikitafasiri komenti zako inanijia picha kua wewe ni mtu safi sana na mwenye huruma,Mungu akufanyie wepesi kazi za mikono yako wewe na kizazi chako
Na ili ujue maswala ya samaki NGUVA ni stories za kufikirika haijawahi hata siku moja akaonekana NGUVA wa KIUME,sikuzote anaonekana wa KIKE TUU..tafakar chukua hatua
mkuu tunafanana sana:
Mimi mwaka 2010 wakati npo chuo cha cbe dar mzee wangu alikua anaumwa amelazwa muimbili hospital.
Ilikua Mara kwa Mara haipiti wiki lazima nimuote mzee wangu amefariki,basi nlikua nalia sana tena sana ukumbuke nipo ndotoni nikistuka najikuta ninamachozi mengi sana.
Basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.