Waachane maana huyo mwanamke mpaka atakapotendwa na huyo hawara yake ndipo atakaporudisha mapenzi kwa mume wake.
Alete balaa tu, au je huku kwetu Kijiji Balaa tumpe darasa.
Chanzo kingine cha wanawake kuwa na vitambi ni kujifungua kwa njia ya operation. Mwanamke akijifungua hutakiwa kujifunga tumbo lake ili lisiwe kubwa sasa kutokana na kujifungua kwa operation hivyo huchelewa kuanza na kusababisha baadhi ya akina mama kuwa na matumbo makubwa ambayo huonekana kama...
Kigezo kisiwe elimu peke yake bali utendaji mbona wao hawasemi akina Lusinde ambaowanatukana majukwaani au Prof Maji Marefu anaowachanja akina fulani kwenye masbuli yao???
Nakubaliana na wewe suala la kumueleza wife lakini nalo limekaa kibahati vile vile kupata hicho kifuta jasho!!!!
Kwa kuwa kila tukio lina posibility ya 0.5 kutokea ngoja ninyuti tu ila nimekoma kama side mnyamwezi.
Najua nitalaumiwa sana na watu kama nyie mkijitia watakatifu hapa jukwaani lakini mioyoni wala si wasafi hivivyo.
Jiulize dhambi ziko ngapi na wewe unafanya ngapi kwa siku????
Hujanielewa, ninachosikitika na kuniumiza moyo ni yeye kutoa tigo mpaka kuharibika kiasi kile. Yaani ukiangalia ni kama wale wanawake malaya wa kwenye porno ambao wamekubuhu kwa hali hiyo.
Nimeahindwa hata kuelewa wa akili yake kabisa mpaka anafika hapo alikuwa hajijui?????
Kuandika hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.