Recent content by kijani11

  1. kijani11

    JamiiForums Tanzania Pale kariakoo tuvunje shule ya Benjamin mkapa na uhuru mchanganyiko tupate eneo la Parking

    watataka TBL iondolowe pale kwamba sio eneo la viwanda.
  2. kijani11

    JamiiForums Tanzania Sio Rahisi kama mnavyo rahisisha

    ni picha za miaka ya nyuma hii sio kitu cha ajabu kwa waishio kando kando ya mto msimbazi.
  3. kijani11

    JamiiForums Tanzania Kwenu Maafisa Usafirishaji

    Na abiria pia.
  4. kijani11

    JamiiForums Tanzania Kuna maafande ni pisi bana

    https://www.jamiiforums.com/threads/madeleka-nitakwenda-tabora-kumtetea-sophia-kumtongoza-mkuu-wa-mkoa-siyo-jinai.2470430/
  5. kijani11

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Wanasemah Wanasemaga kabla hujaingia kwenye maji kuvuka mto unadumbukiza fimbo kuona kina kwanza.
  6. kijani11

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Sababu aliyotoa ameona Mkuu wake anatamani mabadiliko.
  7. kijani11

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wakoloni walishajenga mabwawa ya umeme kama hili la Nyerere kwa kitambo sana!

    Ila maana yako nini mkuu? Kwamba kwa kuwa hatukifanya mwaka 47 basi tusifanye kabisa?
  8. kijani11

    JamiiForums Tanzania Inahitajika Nidhamu ya hali ya juu, Kuwa Boss wa Mwanamke mwenye nidhamu na Utii

    Tuliooa waMeru wenye safari za kikazi leo kazi tunayo.
  9. kijani11

    JamiiForums Tanzania Chai Jaba walijitangaza wakasikika. Ilikuwaje wakashindwa sokoni?

    Inawezekana bidhaa yao haikuweza kukonga mioyo ya wapenda chai.
  10. kijani11

    JamiiForums Tanzania Mabasi yote yaende Stendi ya Magufuli, kama huwezi ondoka Dar Es Salaam hupawezi

    wakishukia mlandizi nani atawakagua? Au abiria wa Mlandizi nao wafike mpaka Magufuli terminal?
  11. kijani11

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni Star Employment Service TZ nirejesheeni 11.2M nilizowapa mnitafutie ajira nje

    Nchi hii utapeli kila kona, nafikiri tatizo ni kwa sababu huenda wana mianya mingi ya kukwepa kushughulikiwa kisheria au ugumu wa michakato ya kisheria kushughulikia matukio ya kitapeli. Pole.
  12. kijani11

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua mradi wa bwawa la umeme wa Mwl Nyerere

    Nilihisi naangalia marudio ya taarifa ya habari ya miaka ya nyuma.
Back
Top Bottom