Recent content by kijani11

  1. kijani11

    JamiiForums Tanzania Walugaluga crew - Ingekuwa soo

    Aisee...
  2. kijani11

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Shrehe yenyewe mwanzoni mlikadiria bajiti ya sh. ngapi?
  3. kijani11

    JamiiForums Tanzania Hii ni kazi kweli au mi ndo kazi?

    Hapo wewe ndio fursa.
  4. kijani11

    JamiiForums Tanzania Abiria wanaopenda siti za mbele Wana roho ngumu kinoma

    mkuu umetoka kutazama picha za mabasi ya Mwanza yaliyogongana uso kwa uso nini? Makondakta pia wanakuwa kwenye hatari kubwa zaidi.
  5. kijani11

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Hatari Sana, Ajali za mabasi zinapotezaga sana matingo/kondakta.
  6. kijani11

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    mh!
  7. kijani11

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Masuala ya T.A.L au?
  8. kijani11

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli watu wenye miguu isiyo na uvungu wanakataliwa jeshini? Kama ni kweli zipi sababu?

    ili uweze kula nyama porini huko mkiwa mnaendesha vita ya msituni.
  9. kijani11

    JamiiForums Tanzania Kuna somo kubwa nimejifunza

    Kitu gani kimafanya uamini hakuwa na amani katika maisha yake!
  10. kijani11

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Mshahara au posho za wabunge zinasibishwa na kima cha chini cha mfanyakazi wa umma. Tuseme kama mfanyakazi wa umma analipwa kiasi Z mshahara wa mbunge uwe labda 3Z. ikiwezekana na viongozi wengine
  11. kijani11

    JamiiForums Tanzania Inawezekana mtuhumiwa kutoroka kituo cha polisi?

    Poleni sana.
  12. kijani11

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani unaona kinahangaisha watu ila wewe hutumii nguvu nyingi?

    Kumpotezea mtu asiyeandika kwa kufuata kanuni za uandishi.
  13. kijani11

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Haya mambo na Tanganyika yamefika!
Back
Top Bottom