Recent content by kijani11

  1. kijani11

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa Rice ni la kwanza msimu huu. Msimu jana aliwatungua Madrid
  2. kijani11

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na yule Ndugu Emie, kama hakuondoka vizuri vile.
  3. kijani11

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kai hakai na mpira tofauti na Martin.
  4. kijani11

    Kuwa mkweli una laini ngapi za simu?

    Kwa sisi ambao kuna mahali Airtel ndio inashika mara kwingine halotel basi tunajikuta siku zote tuna line 3+.
  5. kijani11

    Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

    kwamba wallet nayo ni nzito kwenda nayo msalani!
  6. kijani11

    Hivi ukitaka umtukane mtu "pumbavu" kwa upole na asikasirike unamwambiaje?

    Site ya ujenzi au? Kama ni site ya ujenzi mbona pumbavu ni neno jepesi sana.
  7. kijani11

    Moyo unaniuma sana, nahisi nitapata ugonjwa wa moyo. Nimekata tamaa ya maisha, natamani Mungu anichukue

    Ongeza maelezo ili watu waweze kupata pa kuanzia kutoa msaada.
  8. kijani11

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kazi ya umeneja ni ngumu ukizingatia team zina vitengo vingine vingi ambavyo vinafanya maamuzi kwa ajili yako.
  9. kijani11

    TMA yatahadhalisha kuwepo mvua kubwa mikoa 20

    Bora inyeshe kadhia ya maji iishe/ipungue.
  10. kijani11

    Yanayoendelea Tanzania yanafurahisha sana

    Hiyo hela kwa mwaka mzima itatoka wapi!
  11. kijani11

    Mapinduzi huzaa mapinduzi sio Demokrasia

    ulipiga kura Oktoba 29?
Back
Top Bottom