Mie nadhani huyo Hakimu kama hana interest na hiyo kesi ajitoe na kauli ya eti Mahakamani itapata usumbufu yeye inamhusu nini? Au anataka kuwa kama Hakimu wa mh.Sugu?
Hakika nimeamini kuwa Vyama vya Wafanyakazi Tanzania havina msaada kwa Wanachama wao ambao ni Watumishi licha ya kuwachukilia michango yao kila mwezi.
Watumishi wamesimamishiwa upandaji wa Madaraja, waliopandishwa madaraja tangu 2015/2016 hawajarekebishiwa mishahara. Watumishi hawajapandishiwa...
Ili kuweka historia ya Ubingwa wetu kwa mwaka 2018/2019 Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania ukodishe helikopta ambayo itawabeba mashujaa wetu na kuwatua katikati ya uwanja na baada ya mchezo na kukabidhiwa kombe.
Helikopta itarudi tena Uwanjani kuwabeba Mashujaa wetu na Kombe letu hadi liliko Basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.