kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Hakika nimeamini kuwa Vyama vya Wafanyakazi Tanzania havina msaada kwa Wanachama wao ambao ni Watumishi licha ya kuwachukilia michango yao kila mwezi.
Watumishi wamesimamishiwa upandaji wa Madaraja, waliopandishwa madaraja tangu 2015/2016 hawajarekebishiwa mishahara. Watumishi hawajapandishiwa mishahara tangu 2015 yote hayo vyama vya wafanyakazi vimekaa kimya.
Tunawaomba Wabunge wetu hebu wasemeeni watumishi wa umma.
Watumishi wamesimamishiwa upandaji wa Madaraja, waliopandishwa madaraja tangu 2015/2016 hawajarekebishiwa mishahara. Watumishi hawajapandishiwa mishahara tangu 2015 yote hayo vyama vya wafanyakazi vimekaa kimya.
Tunawaomba Wabunge wetu hebu wasemeeni watumishi wa umma.