Polepole: Maendeleo ya watu na vitu, vinategemeana

KADA08

Member
Dec 2, 2017
44
152
Na: Idara ya itikadi na uenezi CCM Taifa.
12 May 2018
Dodoma.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefafanua kwa kina mahusiano yaliyopo kati ya maendeleo ya vitu na maendeleo ya watu katika mahafali ya Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu ambapo wanachama zaidi ya 1000 wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma wamepatiwa vyeti vya heshima kwa kuwa wanachama wa CCM Kipindi chochote walichokuwepo chuoni.

Katika Sherehe hiyo iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dodoma wakishirikiana na Seneti ya Vyuo na Vyuo vikuu Ndg. Polepole amewaeleza kwa kina wanavyuo hao kuwa juhudi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha maendeleo ya watu yanapatikana na kila linalofanywa na Serikali ni kwa manufaa ya watu.

"Ujenzi wa mradi wa Reli ya kisasa, ujenzi na ukarabati wa meli ikiwemo Mv Songea na Mv Njombe katika ziwa nyasa na zingine katika ziwa Victoria na Tanganyika nikwa lengo la kurahisisha usafiri na usafirishaji, mradi wa umeme kinyerezi 1, 2, 3 na Stigler's Gorge ni kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa umeme kwa uhakika na bei nafuu, ujenzi wa mabarabara, dawa hospitalini sasa zinapatikana kwa karibu asilimia 90%, mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kila mwaka kwa sasa ni zaidi ya Bilion 400 na, yote haya na mengine mengi ni kuhakikisha, kufanikisha na kuhamasisha maendeleo ya watu wa Tanzania, kwa sababu maendeleo ya watu na vitu yanategemeana" amesisitiza Ndg. Polepole

Aidha Ndg. Polepole amesema Chama kitaendelea kuielekeza na kuisimamia Serikali katika suala la ajira ili kuhakikisha kuwa ajira kwa vijana zinaendelea kupatikana.

Wakati huo uo Ndg. Polepole ametumia hadhara hiyo kuwakumbusha wanafunzi kusoma kwa bidii na kuendelea kujibidiisha kutafuta maarifa kwa kujisomea hata watakapo hitimu masomo yao kwa faida ya jamii nzima kama ilivyokwenye ahadi namba (6) ya mwanaCCM

"Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia Elimu yangu kwa faida ya wote".

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
 
Huyu jamaa akiri kaamua kuweka kwapani kabisa na kuendelea kufanya kile Boss wake hapendi kukisikia.
Kesho CHADEMA wakifanya mahafari mtawakamata kwa kosa la kukaidi amri halali ya Rais inayosema Mwanafunzi wa chuo asijihusishe na siasa au mtawakamata kwa kosa la kufanya kusanyiko la kisiasa?????.
 
namngojea sana mtu huyu..namkumbuka sana katika harakati za katiba mpya..aliongea vingi vya ukweli na alionekana ni mtu makini sana..sasa ameamua kuchumia tumbo lake..muache aendelee kutudanga huku moyoni mwake akifahamu kuwa anatudanya..namsihi akumbuke kuwa kuna clips nyingi zipo kwenye social network zikimuonyesha polepole wa sasa na wazamani..kuna siku itafika..sijui ataificha wapi sura yake..."hapa duniani muogope mungu na teknolojia"
 
Akamatwe mara moja kwa kukaidi agizo la raisi wetu, raisi alipiga marufuku wanafunzi au mtu yeyote kuingiza siasa vyuoni akiwahusisha wanafunzi,

Kwani hakulisikia agizo la mkuu pale alipokuwa akihutubia kule SUA.
Viongozi karibu wote wa vyuo vikuu hapa nchi ya kusadikika ni ccm na ni moja ya vigezo vya kuchaguliwa. Kama huna kadi ya chama huwezi kuwa kiongozi katika chuo chochote
 
Na: Idara ya itikadi na uenezi CCM Taifa.
12 May 2018
Dodoma.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefafanua kwa kina mahusiano yaliyopo kati ya maendeleo ya vitu na maendeleo ya watu katika mahafali ya Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu ambapo wanachama zaidi ya 1000 wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma wamepatiwa vyeti vya heshima kwa kuwa wanachama wa CCM Kipindi chochote walichokuwepo chuoni.

Katika Sherehe hiyo iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dodoma wakishirikiana na Seneti ya Vyuo na Vyuo vikuu Ndg. Polepole amewaeleza kwa kina wanavyuo hao kuwa juhudi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha maendeleo ya watu yanapatikana na kila linalofanywa na Serikali ni kwa manufaa ya watu.

"Ujenzi wa mradi wa Reli ya kisasa, ujenzi na ukarabati wa meli ikiwemo Mv Songea na Mv Njombe katika ziwa nyasa na zingine katika ziwa Victoria na Tanganyika nikwa lengo la kurahisisha usafiri na usafirishaji, mradi wa umeme kinyerezi 1, 2, 3 na Stigler's Gorge ni kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa umeme kwa uhakika na bei nafuu, ujenzi wa mabarabara, dawa hospitalini sasa zinapatikana kwa karibu asilimia 90%, mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kila mwaka kwa sasa ni zaidi ya Bilion 400 na, yote haya na mengine mengi ni kuhakikisha, kufanikisha na kuhamasisha maendeleo ya watu wa Tanzania, kwa sababu maendeleo ya watu na vitu yanategemeana" amesisitiza Ndg. Polepole

Aidha Ndg. Polepole amesema Chama kitaendelea kuielekeza na kuisimamia Serikali katika suala la ajira ili kuhakikisha kuwa ajira kwa vijana zinaendelea kupatikana.

Wakati huo uo Ndg. Polepole ametumia hadhara hiyo kuwakumbusha wanafunzi kusoma kwa bidii na kuendelea kujibidiisha kutafuta maarifa kwa kujisomea hata watakapo hitimu masomo yao kwa faida ya jamii nzima kama ilivyokwenye ahadi namba (6) ya mwanaCCM

"Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia Elimu yangu kwa faida ya wote".

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
Well said comrade
 
Akamatwe mara moja kwa kukaidi agizo la raisi wetu, raisi alipiga marufuku wanafunzi au mtu yeyote kuingiza siasa vyuoni akiwahusisha wanafunzi,

Kwani hakulisikia agizo la mkuu pale alipokuwa akihutubia kule SUA.
Nchi ya washamba wala sio kwamba inaongozwa na washamba peke yao. Upuuzi uliotukuka.
 
Polepole wa sasa hivi akili yake iko likizo, anafanya yale ambayo mwenyekiti wake anayapenda.
 
mh!jamaa anaongea vitu ambavyo havipo katka nchi yetu!!

kwa sasa maendeleo ya Tanzania ni tofauti ksbisa na maendeleo ya MTANZANIA!
Tanzania inamiliki ndege but Mtanzania hata mlo mmoja kwa siku imekuwa ngumu kuupata!
Siamini kama wewe uliwahi kufikiri jambo lolote la maana comred polepole alichokisema ni uhalisia wewe umejamba kwa hasira unaona umeshajipaka mavi
 
Hana hadhi ya kusimamia lolote huyu kwa sasa. Ni sycophant tu huyu
 
Agizo la rais kwa wanachuo kuwa wasijihusishe na siasa wakiwa vyuoni halikuilenga ccm,, bali liliwalenga wapinzani na ndo maana huyu polepole ameendelea na siasa vyuoni hata baada ya agizo la rais kutolewa.
 
Na: Idara ya itikadi na uenezi CCM Taifa.
12 May 2018
Dodoma.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefafanua kwa kina mahusiano yaliyopo kati ya maendeleo ya vitu na maendeleo ya watu katika mahafali ya Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu ambapo wanachama zaidi ya 1000 wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma wamepatiwa vyeti vya heshima kwa kuwa wanachama wa CCM Kipindi chochote walichokuwepo chuoni.

Katika Sherehe hiyo iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dodoma wakishirikiana na Seneti ya Vyuo na Vyuo vikuu Ndg. Polepole amewaeleza kwa kina wanavyuo hao kuwa juhudi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha maendeleo ya watu yanapatikana na kila linalofanywa na Serikali ni kwa manufaa ya watu.

"Ujenzi wa mradi wa Reli ya kisasa, ujenzi na ukarabati wa meli ikiwemo Mv Songea na Mv Njombe katika ziwa nyasa na zingine katika ziwa Victoria na Tanganyika nikwa lengo la kurahisisha usafiri na usafirishaji, mradi wa umeme kinyerezi 1, 2, 3 na Stigler's Gorge ni kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa umeme kwa uhakika na bei nafuu, ujenzi wa mabarabara, dawa hospitalini sasa zinapatikana kwa karibu asilimia 90%, mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kila mwaka kwa sasa ni zaidi ya Bilion 400 na, yote haya na mengine mengi ni kuhakikisha, kufanikisha na kuhamasisha maendeleo ya watu wa Tanzania, kwa sababu maendeleo ya watu na vitu yanategemeana" amesisitiza Ndg. Polepole

Aidha Ndg. Polepole amesema Chama kitaendelea kuielekeza na kuisimamia Serikali katika suala la ajira ili kuhakikisha kuwa ajira kwa vijana zinaendelea kupatikana.

Wakati huo uo Ndg. Polepole ametumia hadhara hiyo kuwakumbusha wanafunzi kusoma kwa bidii na kuendelea kujibidiisha kutafuta maarifa kwa kujisomea hata watakapo hitimu masomo yao kwa faida ya jamii nzima kama ilivyokwenye ahadi namba (6) ya mwanaCCM

"Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia Elimu yangu kwa faida ya wote".

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Dodoma awajibishwe kwa kupuuza kuisimamia amri ya rais ya kupiga marufuku siasa kwa wanafunzi wa vyuo.
 
SIASA vyuoni ni lea ccm tu UPINZANI hapana hiyo ndio Demokrasia ya Tanzania ya bw.Polepole
 
Back
Top Bottom