LA PAZ (AFP & RT) – Bolivia on Wednesday renounced a visa exemption agreement with Israel in protest over its offensive in Gaza, and declared it a terrorist state.
President Evo Morales announced the move during a talk with a group of educators in the city of Cochabamba. It "means, in...
Girls Galaxy S4 Smartphone Burns Under Her Pillow as She Sleepshttps://www.yahoo.com/tech/girls-galaxy-s4-smartphone-burns-under-her-pillow-as-93135039699.html
Hizo RUBBISH ulizoziweka humu ukaziona ni 'historia' ya uhasama baina ya Waarabu na Wayahudi zimetoka kwa media zinazomilikiwa na Wayahudi,zote zinaongelea KISIFA upande wa Wayahudi. Kwa kifupi hawa watu wamelaaniwa na Mola wao,mataifa ya magharibi na Waingereza wanajuta kuwasaidia KUIBA nchi ya...
"Wameshachoka kutetea UGAIDI WA WAYAHUDI kutokana na UNAFIKI wa kikazi zao za uandishi wa habari za upande mmoja kwa miaka mingi".baada ya kutizama video someni comments zote mujue maana ya UDHALIMU.
Chris Hedges speech about Gaza.Sikiliza SPEECH yake kwa makini sana...
Al-Qassam Brigades bombed Tel Aviv directly with 10 rockets affectively,
Which came first? Palestinian rockets or Israeli violence?Source; AlisonWeir.org - Journal - Which came first? Palestinian rockets or IsraeliÂ-violence?
Gaza doctors deliver baby after mother dies >...
Dadangu usiwalaumu vijana wa kibongo au kama alivyosema mwenzetu humu sisi wenye ngozi nyeusi,ukweli ni kwamba maisha ya siku hizi nayo ni magumu haiwasaidii vijana wengi hata wanaotaka kuowa kihalali,hali ya kiuchumi ina uzito wake katika nchi zinazoitwa maskini,na usuisahau kama mwanamke ndie...
KABLA KUOWANA
Mvulana: Kutoka zamani nina subiri moment hii,
Msichana: Wapenda niende zangu?
Mvulana: No no no no,
Msichana: Wanipenda kweli?
Mvulana: Bila shaka,
Msichana: Ukimpata msichana mwengine utanitupa?
Mvulana: Ni vigumu sana mimi kufanya hivyo,
Msichana: Ungependa tushikane mikono...
PRESS RELEASE
The National Union of Metalworkers of South Africa (NUMSA) is outraged at the Israeli Defence Force's bombing of Palestinians in the besieged Gaza Strip, and the ongoing administrative detentions, house raids, and murder of Palestinians in the West Bank and East Jerusalem.
We...
This is a speech made by Israel Prime Minister Benjamin Netanyahu to his cabinet about two days ago. It was reprinted by Affan Sosibo for the African National Congress Youth League on the 8th July 2014. I quote:
"We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the blacks...
This commentary was written as a letter to the President of South Africa and was then delivered as a speech at the regional conference of the African National Congress Youth League.
by Affan Sosibo.
http://affansosibo.wordpress.com/2014/07/
Mamy,hata siendi mbali sana kueleza mengi lakini nataka wewe ujichukuwe kama wewe sasa ndio mzazi na una wasichana wa4 na wameshaolewa wa3 dada mkubwa ambae ndie binti yako mkubwa hajaolewa je utakuwa na wasiwasi wa kwamba binti yako hata habari hana kuhusu mambo ya kuolewa na siku zinakimbia na...
Waungwana,nina simu Samsung Galaxy Duos,katoto kangu kadogo kalikuwa kanaichezea bila mimi kumuona sijui kabonyeza nini hata simu yangu ikafungika kabisaa!!,nime-sign kwa google account yangu ya kwanza wakati nilinunua hii simu kutoka dukani na haijafunguka nika-sign kwa google account yangu ya...
Pesa ni pesa lakini hizi pesa zina majina mengi,kwa mfano ukijaribu kuzitaja kwa jina lake [Pesa] katika mambo mengine ambayo ni muhimu kijamii kama vile kufunga ndoa huwezi kuwaambia wazazi wa bibi harusi ntawapa PESA munipe binti yenu,hiyo haitakuwa lugha ya kiheshima, kwahivyo hapo ndipo hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.