Recent content by kijana makini

  1. kijana makini

    Habarini wakuu hivi nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi hadi finishings?

    Kuna wataalam wanaitwa "quantity surveyors" ndio wahusika wakuu wa kuchenjua gharama za ujenzi kuanzia mwanzo mpk mwisho wanakuandalia kitu kinaitwa "bills of Quantities" maarufu km BOQ na "schedule of materials" ktk hatua zote za ujenzi; however gharama za ujenzi zinaathiriwa na location ya...
  2. kijana makini

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Hawa majamaa wanapenda sana media for attention, Yani 😁😁 Hawa jamaa wanapenda sana media kuseek attention...Yani Umeme umekaa sawa kdg tu washawahi kwenye mic kubwabwaja
  3. kijana makini

    RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

    Nd Ndio maana mbele watu msiba wa mtu maarufu wanafanya very private
  4. kijana makini

    Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

    Mbinumbinu tu za kupata comments ..haya natumaini umeridhika sasa Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
  5. kijana makini

    Haniridhishi jamani

    Je wewe unamridhisha isije ikawa wewe ndio gogo..na yeye kwa ugeni wake kwako kjn wa watu anacheua fasta
  6. kijana makini

    Famous quotes by Famous Tanzanians

    kuna watu wanafikiria kwa makalio - Masaburi
  7. kijana makini

    Pichani, Daraja Kigamboni hiloo... Kigamboni yakufikirika yawa kweli

    daraja hili likikamilika litakuwa na njia sita za magari kulifanya kuwa daraja kubwa kuliko yote Afrika mashariki
  8. kijana makini

    kwa mwenye uzoefu na water pump msaada

    jaribu water pump type PEDROLLO ni nzuri
  9. kijana makini

    Akina dada's, eti huwa mnapenda lips zetu?

    :blah: mwanaume pesa lips ushoga..
  10. kijana makini

    Mazishi ya Kanumba, kamati yapiga hela ndefu

    hata yeye mwenyewe kanumba aliimba kuwa adui zake wangebeba jeneza lake..ona sasa yaliyotokea..daamn
  11. kijana makini

    Bamaga:pale ni sinza,mwenge au kijitonyama?

    Ustawi wa jamii iko kijitonyama
  12. kijana makini

    Bamaga:pale ni sinza,mwenge au kijitonyama?

    ukishapita africa sana(mwisho wa sinza) km unatokea mapambano kushoto ni mwenge na kulia ni kijitonyama therefore ustawi wa jamii iko k'nyama..
  13. kijana makini

    JK amemsimamisha Jairo kupisha uchunguzi wa Bunge - PINDA

    dah movie inaendelea na waigizaji wamebobea...changa la macho
Back
Top Bottom