amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
"Mnaniulliza mambo ya umeme mie mvua" JK
hii ni kweli mkubwa?????kama siamini ujue
"Mnaniulliza mambo ya umeme mie mvua" JK
Tatizo watanzania wana wivu wa kike - Ben N'kapa.
JM Kikwete ni chaguo la Mungu - Achkofu
Hata kama anapendwa kubebwa kama maiti, mwacheni - JKN (RIP)
Kama Mbuyu Twite na mwili ule analala kitanda kimoja na Nsajigwa unategemea Timu ishinde? - former coach
Yanga
"kama ni kura sitaki kura zenu" aliwaambia wafanyakazi wote sio waalimu tu.Wasichana wanaobeba mimba mashuleni niviele ele vyao - J.K
Kama ni kura sitaki kura zenu - J.k akiwaambia waalimu
Hata mimi sijui kwa nini watanzania ni maskini J.K
M/kiti hakuna jambo nililofanya hukulijua, kila nilichofanya ulijua - Lowassa akimchana J.K
hiyo ya mwishio noumaTatizo watanzania wana wivu wa kike - Ben N'kapa.
JM Kikwete ni chaguo la Mungu - Achkofu
Hata kama anapendwa kubebwa kama maiti, mwacheni - JKN (RIP)
Kama Mbuyu Twite na mwili ule analala kitanda kimoja na Nsajigwa unategemea Timu ishinde? - former coach Yanga
Senki yo vere mache- Shangazi Anna Makinda