Recent content by Kijana Darasa

  1. K

    UKAWA hamna hoja, nipo hapa kujibu hoja zenu

    utanipa darasa gan mi mwenyewe kijana darasa we fox,mbna umeshamaliza umesema ukawa hawana hoja sasa walete hoja gan tena hujisomi,?ukawa sio chama wala haina bendera ni umoja wa katba ya wananch,hata wwe ni ukawa kama mtanzania,,,hujisom
  2. K

    Makonda tena Dodoma amtunishia misuli UVCCM mwenzie

    ipo siku atakanya wenye mori mbona atafurah
  3. K

    Wasichana kuvaa nusu utupu ni kutafuta soko au fasheni?

    ilo lishakuwa tatzo,na hii fashen haiishi inaboreshwa tu,,tujifunze kuwa vibur tu princple yangu luk at once only,hata iweje sirudii navunga bora macho yanilaumu
  4. K

    Imani hizi zinatupeleka wapi?

    wanakosa maarifa ya kimungu
  5. K

    Taarifa kutoka jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)

    mi najua mmeelewa na hamuwez kuvaa tena,izo mbwembwe tu,vaen kama vibur
  6. K

    Japokuwa nimeishia darasa la saba lakini kaka yangu ameishia kuwa omba omba kwangu

    we kilaza darasa kweli,nan kakwambia umefanikiwa game linaendelea mda wowote unaweza saidiwa wwe,mwenzako kawekeza kichwan.pole kwa wwe
  7. K

    Baunsa (Body Builder) wa Calabash Anaongoza kwa Kuomba Kinywaji

    Tatizo wenyewe huwa mnaanza kuwachekea muonekane mnafaamika sehemu za starehe,ili siku ukiwa na mgen wako akuone mwenyej viwanja ivo,,baunsa hawez kukuanza tu we una zako,,polen na stres na uchovu unaotolewa na vileo
  8. K

    Kituko cha mwaka 90

    dah mi bado sijui itakuwaje mana sijawah panda lift kila ikinihusu nakwepa nko radh nipande ngaz had nitoe jasho,pia nilikuwa kwa semina ubungo plaza nilikwepa ngaz za umeme dada mmoja alianguka nilimcheka mi nikatumia ngaz zetu zile,dah yangu sijui itakuwaje
  9. K

    Uwanja wa Yanga: Ilala yamtwisha mzigo Rais

    wangepewa eneo mabwepande kama wahanga wengne
  10. K

    Kwa mara ya kwanza ulipopata taarifa ya kifo cha J.k Nyerere ulijisikiaje?

    hata form ni darasa la nne kwa level ya sekondar,Remot huyo babu yako vp anadhan jf ya vikongwe only,tuache kashfa age isnt kipmo of thinkn capasit
  11. K

    Polisi wampiga mwanajeshi Tabora wanajeshi wazua taharuki

    Funguken wadau kwani kutovaa element police anaruhusiwa kukupiga,sheria zipo,,mnaniaibisha grtthkers,wote wanamakosa aliyechukua sheria mkonon ndo mshtakiwa kwa wakat
  12. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    kifikra zangu huu mchezo hauna mshindi tunajifurahisha tu,
  13. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    kweli ya ukwel ni ile inayoweka watu huru kiroho na kifikra
Back
Top Bottom