Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe mdogo wangu mie nlkuwa darsa la 4; nakumbuka nilitumwa ofisini kuchukua chaki ndipo nikakuta walimu wanamsikiliza mkapa akitangaza kifo hicho
Kumbe tunabishana humu na watoto wetu kila siku,
Hamna shida kama mtu ana urgue na anaeleweka umri wa nini, hapa hakuna chq babu waka mjuu, hili ni jukwaa and anybody is entittkled kushiriki bahat mbaya wengine mambo kama haya yamewakuta tayar umri unawakataa,
Any way by that time nilikuwa form 2 pale makongo secondary na nikiwa natoka shule ndo nakuta watu wamesimama vikundi vikundi wakisikiluza hotuba ya raii mkapa.
Nikajiuluzq hivi huyu Nyerere ni nani lakini nilipokujq kukaa na kumwqngalia vizuri nilimkubali kamanda wetu.
R.I.P Sir Nyerere.
unaikumbuka Makongo ya Miraji?
Wahenga walijaaliwa misemo iliyoshiba maana" mfano: kwenye msafara wa mamba na kenge wanao" we ni kengehv Nyerere ana mchango gn tz vtabu vng pale mliman vnamponda tn sn ktk uchumi ila wht i know kawasaidia sn wakatolik ndo maana anakuzwa sn Tundu lisu was right angekuwa bado rais bado tungekuwa nyuma sn
Sana yan, ki kawaida hakuna makongo bila ya miraji na kwa sasa sijui madogo wana mirajigan, maana sikumoja nilijutana na babu chacha maeneo ya kinondoni miaka ya hivi karihuna akaniambia amesha staaf jeshi, da makongo ilikuwa na mbwembwezake ingawa kwa kipindi kile tulikuwa tunajiona kama tupo jehanam vile.
daah apumzike kwa amani afande Miraji