kuna wanaume wachoyo jamani akupi kitu chochote si zawadi si hela mi naona ni ubinafsi wa hali ya juu ata ukeshe kumpa yeye zawad hashtuki. mwanamke apaswa kupewa bila hata kuomba usipo mpa wewe mpenzi wako subiri wengine wakimpa usione fii
hello wapendwa,
mi ni mtanzania mwenzenu natokea waja leo uondoki leo natumaini ntakaribishwa humu. JF is a part of learning Institute pia kupunguza stress.
Gender- ke
thank you.
mi bila mimba au kuoa baada ya mtoto ni kitu nilisema siwez kukiepuka.............navyoona ndugu zangu wanahangaika kutafuta watoto baada ya ndoa nilivo na roo ndogo ntapata stress..............i thank God she is expecting na ndoa ni early August.am Done...the rest ni porojo
una uhakika...
huyu anatakiwa aolewe ili babaa,awe anamsafisha!kwa hyo ukiwa mnene kijana haend chumvini!dah ctak unene asilani=///
chumvini anazama kama kawaida ni wewe tu mwenyewe na usaf wako na unavyomkosha uyo mwanaume, mwanamke mnene ni mtamu asilan na haishi hamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.