Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

mm mwenyewe nimeangalia mara mbili mbili, nisiweze kuamini kirahisi, kumbe Smile sometimes upo fair eehh, mm nakuonaga bandidu kinoumanouma!
mimi nikijisikia kutoa natoa tu kiroho safi hakuna cha promis ya ndoa wala mzinga!
 
Tena mimi nikionja naonja kweli na marks nnatoa kama haijavuka bechmark yangu ali yo weka da mwaju nakitoa!!!
Kwa hiyo usichulie lightly kuonjesha watu, muhimu sana
 
Nataka ushauri toka kwa wanawake wenzangu waliokwisha kukutana na kadhia hii mbinu waliyotumia wakafanikiwa kuitatua.

...sidhani kama wanaweza kukupa suluhisho maana nao ni watendwa so wote ni wahanga, kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie...,ungetuuliza sababu za kuwatenda nadhani ungepata jibu,pili ni ..aaah ngoja niishie hapo maana huu uzi ni kwa wa hanga pekee...
 
Shosti, wanaume wa siku hizi neno "uchumba' wanalitumia kama chambo cha kutunasa sie wadada. Ukiruhusu kila anayekuja na hiyo gia ya uchumba kugegeda mbona itakuwa hatari tupu!!

wanadai kuuziwa mbuzi
kwny gunia nawdays hakunaga
tena ili akuoe ni mpaka uwe kitumbo ndiii!!
mapenzi kizunguzungu!!
 
Ni vyema na uendelee kuwa hivyo,ila napenda tu kujua unafanya hivyo coz ni msimamo wako binafsi kwmb ni malengo yako ktk maisha yako ya ubinti ? Au uko forced na imani ya dini?au ni fear tu ya kuogopa kutumika?
Yote hayo matatu + maadili
 
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.

Tunakabiliana nalo kwa kufunga zipu kwanza, walio serious utawajua na wagegedaji na kusepa utawajua tu......muhimu wasome kwanza ili hata ukivua ujue unavua tu kwa charity ila si kwa ahadi ya ndoa.
 
unajua wakati napita zangu nikakuta duka zuri kweli,display yake inapendeza,nikasema moyoni mi nitakua mteja wa hili duka milele,mana maduka mengine yapoyapo tu hayana hata mvuto.

nilipokuja kutaka kununua bidhaa nikaambiwa subiri duka linafunguliwa saa 3 ,sasa mimi nimekuja saa 1,nikiangalia nahitaji kweli bidhaa saizi ila tatizo duka linafunguliwa saa 3.nikiangalia jirani na duka kuna duka lingine lipo wazi na bidhaa nayohitaji ipo.

hivi kweli niendelee kusubiri?

UJUMBE;kila mwanaume ana time yake ya kusubiri, ukipitiliza tu wanawahi duka lingine watakapohudumiwa haraka
 
Mleta Mada naomba ruksa kuchangia\fungua hoja na upande wa pili tukupe hoja za msingi ili upate hadidu za rejea!
 
Mleta Mada naomba ruksa kuchangia\fungua hoja na upande wa pili tukupe hoja za msingi ili upate hadidu za rejea!
Kwa heshima na taadhima hoja imefunguliwa kwa upande wa pili pia. Naona wanaume wanamezea mate kuchangia kwenye mada hii ili waji-defend. Haya karibuni mtuambie kwa nini mwapenda kuonja kwanza na mkikataliwa mnasepa jumla?
 
Ni kweli kua hao wote wanokuja kwako wanaanza na gia ya kuoa au inakuaje. Kwa nijuavyo mimi kinachoanza ni urafiki na baadae ndio panakua na misemo ya uchumba na nini au pengine wengine huanzia na suala la uchumba tangu nmwanzo . Sasa hapo itategemea mwanaume uliekubaliana/ridhika nae ktk hayo niliyo ainisha hapo juu yeye amekuambiaje na bado sio issue sana .

Ni kweli wanaume wengi huwa na haraka sana ya ngono ambapo walio wengi pia hukinai mapema, lkn bado kuna wachache ukiwaeleza msimamo wako hutokea kuukubali na kuuheshimu.Obviously anekupenda kwa dhati atakubaliana na mtakachopanga au mapendekezo yako.

Ikitokea umeamua kungonoka na kila anaetaka/kukutamkia uchumba jiulize utazini na wangapi mpaka uje umpate alie siriaz. Msichana ni vema kujitunza na kujiheshimu ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa lenyewe. Usidanganyike kuwa mwanaume ukimkubalia haja yake basi atakuo sio kweli inategemea dear. Na kama wewe ni mwamini basi elewa kua zinaa ni dhambi hata kama jamii inaihalalisha na kuonekana kua kitu cha kawaida. Wanaposema unauziwa mbuzi kwenye kiroba hapo napo hapajakaa sawa. Hoja ni kua je unazo hisia na kama zipo basi wewe ni lijari na kama mwanaume atakaekuoa atakua na matatizo ya kimaumbile ie hanisi elewa kua ndoa hiyo huwa ni batili na inavunjwa wala usihofu. Endelea kujitunza dear na Mungu atakupa anaekufaa kwani mke/mume mwema mtu hupewa na Bwana
 
good kumbe uko single!check in box nisha sababisha!
 
Tunakabiliana nalo kwa kufunga zipu kwanza, walio serious utawajua na wagegedaji na kusepa utawajua tu......muhimu wasome kwanza ili hata ukivua ujue unavua tu kwa charity ila si kwa ahadi ya ndoa.

this is completely wrong mebtality...so k ni either charity au ndoa...ipo kazi
 
alafu wee binti sio wee uliyekuwa wasema hutaki kuolewa...vipi maisha ya umiss magumu? wee utakuwa hujakaa ki wife material ndio maana u attract wagegedaji

Ukisema zini lina kuwa neno kali kidogo atleast sema ku-do.
 
tupa kule mdada wanaume wako wengi ukiona tuu anaekuuliza penzi kwanza huyo si muoaji unatakiwa kuwa makini saana.

Mdada...hakuna jinsi....lazima utoe papuchi....haiwezekani mtu akakuweka ndani halafu kumbe mashine kimeo siku hizi haiwezekani kabisa...lazima utoe sana mashine...na bahati mbaya kama mimba haiingii unapigwa chini vilevile...kwa hiyo pima mwenyewe..,na umri unakwenda....lazima ujue waoaji tupo lakini lazima tuoe kwa malengo!...sorry nimepita kwa bahati mbaya...
 
Back
Top Bottom