Recent content by Kihunda

  1. K

    Rais Magufuli: Utawala wangu sitaki kulimbikizia watu vyeo. Mbunge hawezi kuwa RC au DC

    St Stella Manyanya alikuwa mkoa wa rukwa kama sikosei
  2. K

    Rais Magufuli: Utawala wangu sitaki kulimbikizia watu vyeo. Mbunge hawezi kuwa RC au DC

    S Stella Manyanya alikuwa mbunge na pia mkuu wa mkoa, Rosemary Kiligini pia alikuwa mbunge na pia mkuu wa wilaya, mifano ni mingi tu
  3. K

    Jaji Mutungi: Rais Magufuli hajafuta mikutano ya kisiasa

    Jaji anajaribu kuziba mapungufu yaliyojitokeza kwenye hotuba ya rais na hilo ni jambo la kawaida ukizingatia hiyo hoja inaangukia kwenye taasisi anayoiongaza yeye jaji
  4. K

    Wabunge wampa makavu Waziri Kitwanga, Masha aonyesha umbumbumbu

    Wabunge wa ccm wengi wao ni majipu
  5. K

    Sina hamu ya kuendelea kuishi na mke niliyezaa naye watoto watatu

    Chief yuko sahihi otherwise utuambie sababu inayokufanya umchukie, haiwezikani eti humpendi bila sababu, je kipi kilichokufanya uende kumtongoza au ulilazimishwa? Vingenevyo unachangamsha baraza baada ya kuona hakuna mjadala unajadiriwa,
  6. K

    TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

    Umeambiwa alikuwa anaumwa kabla hajatumbuliwa
  7. K

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    Lugumi inakujaje hapa wakati umeelezwa sababu ni kulewa wakati wa kikao, kumfuta kazi haitoshi apelekwe mahakamani kwa kosa la kukahidi amri ya rais ya kutokunywa vileo saa za kazi
  8. K

    VIDEO: Waziri wa Magufuli ampigia salute G. Lema bungeni

    Tatizo letu ni pale hatusikilizi kile kinachosemwa bali tunaangalia nani kasema na kama ametoka Chama changu au Chama kingine, tukubaliane kwamba upinzani nao wanamchango wao katika ujenzi wa taifa tusiwachukulie kama maadui
  9. K

    South Sudanese gunmen kill 208, kidnap 108 children in Ethiopia raid

    Tulifanya kosa kubwa kuwakaribisha hawa South Sudan kwenye shirikisho, hawa jamaa bado wanahamu ya vita
  10. K

    Kutoka TAZARA: Ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) wazinduliwa rasmi

    10% ya viongozi watia sahihi siyo yawajenzi , inamaana unahalalisha rushwa? au hauku
  11. K

    Kutoka TAZARA: Ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) wazinduliwa rasmi

    Hatupingi ila tunasema hili tukio limechelewa sana, nchi iliyopata uhuru miaka 55 iliyopata ilitegemewa hii ingekuwa flyover ya kumi kama siyo ya ishirini
  12. K

    Kijana ambaka bibi kizee wa miaka 84

    Huo ndio mwisho wa dunia, sasa kwa huyo bibi wa miaka 84 alikuwa anafaidi nini
  13. K

    Batilda Buriani kurudi nchini baada ya kukwama Japan

    Ngoja arudi tushirikiane kujenga taifa
Back
Top Bottom