hata ufunguke vp makonda hutaweza kuwa msafi kwamba wewe uliwapiga wazee wa chama na kwamba ulishindwa kutumia vikao halali vya chama ukamtukana mwanachama mwenzio hadharaniii
tungefurahi kama majambazi waliouwa kule rufiji vinginevyo ni upuuzi tuuu mbona kinana akienda kufanya maigizo yake kule mikoani haombi kibali na analindwa mpaka na watu wa usalama wa taifa? pumbavuu
tuambie kwann hakukuwa na uhamasishwaji wa uandikishwaji? iweje ujio wa mwenge utangazwe kila kona ya kijiji na zoezi la uandkishwaji lisitangazwe kabisa? iv kwa serikali ni kipi muhimu kati ya hivyo viwili? lizabon unaijua tz kweli mkuu au unaishi lumba tuu? hujui kuwa ccm walianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.