Taarifa mhe. spika.
Naomba kumfahamisha mchangiaji aliyemaliza hivi punde kuwa Uenyekiti wa Mabumba ulikwisha koma tangu April mwaka huu na nafasi yake imechukuliwa na mhe. Seif Khatib
safi sana!! kwa mtindo chadema hawana chao! kufikia Sept 2015 wheshimiwa madiwani wetu, wakulima na ma barmade watakuliwa wanakula nondo!! kura kwa ccm 2015.!
kuna uwezekano kuwa CHADEMA wamewekeza zaidi katika kuwanadi wagombea wao bila kufanya maandalizi ya awali kuhakikisha wanahamasisha wanachama wengi na wanaokubalika na local community na hatimaye kupata best candidate miongoni mwao. pamoja na kuwanadi wagombea CDM wahakikishe wana best...
alisema ni chama ambacho kimekuwa na mtazamo wa udini kwa zaidi ya miaka 10!! na kama inavyojulikana alilenga kuwasema CUF lakini hakuweza kwa kuwa CUF ni sehemu ya serikali ya ?mapoinduzi Zanzibar. ingekuwa CDM wanahusika asingemung'unya maneno hata kidogo manake ingekuwa sehemu ya kujiongezea...
"Mwingira ni mtume na nabii wakati Kakobe ni Askofu yaani kiongozi mwangalizi" aliingilia kazi za kina nabii Mwingira..!! bila shaka umeisoma hiyo mkuu....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.