.. ni jambo la sekondari kama sio la msingi, nani atasimama kati ya hawa? Mbatia,lipumba,mboe,slaa wote hawa ni ni waroho wa madaraka alafu kitu kingine wangemtoa mbatia na marando kwanza ndo wakaendelea hawa ni vibaraka na kila mtu anajua,wasipofanya hivyo hakuna muungano hapo
..hapa hakuna ushabiki maandazi tatizo lenu mkipenda mnajisahau,tuliwaamini sana cdm lkn kwa sasa hakuna kitu bola chama cha mch. Mtikila, hakuna chama cha mafisadi kama cdm
jamani r.i.p chadema, mkubali msikubali hii imekula kwenu mtabakia kutuwekea picha za mwaka 2010, mkutano ulikuwa wa wauza nyanya ya kakonko si wanachama wa chadema
Wewe uliyeweka huu ujumbe tunashindwa kukuelewa number ya airtel msg inasoma mpesa wapi na wapi bwana, kama unamchukia kapuya si uweke vitu vya uhakika humu, hapa unamuongezea utetezi bwana kapuya hata akipelekwa mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.