bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Wamenikera sana jana...najizuia ku comment kwanza nisije pewa ban pili nina hasira na mambo ya chalinze kwenyw kura ya maoni tatu wife hajapata mshahara mpaka leo na gesi imeisha home beki hazikabi kabisa...
Pole sana kigogo sasa sijui ni kigogo wa ccm au wa serikali.