Recent content by kigogokizizi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uimara katika gari iliyofufuliwa?

    wapi napata mtaalam wa hiyo brand kwa dsm
  2. K

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uimara katika gari iliyofufuliwa?

    Habar wanajamvi, Je, Kutengeneza gari ambayo haijatumika miaka takribani mitano. Kufix injini mpya na vipuri vingine ambavyo ni chakavu..HIYO GARI ITAKUA DURABLE?..haitasumbua kila siku matengenezo? Gari ni range rover 4.6HSE.. Msaada kwa wataalam na wazoefu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Antfraud an money laundering

    Hapo ni shule au taasis inayojihusisha na fraud
  4. K

    JamiiForums Tanzania Antfraud an money laundering

    Habar Wana janvi..ni wapi Tanzania/online wanatoa certified proficiency ya "antfraud and money laundering"..
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefika Dar es Salaam kutoka Kenya my dream comes true

    kuwa makini na picha zako,,sio kila pahala ni pa kupiga picha
  6. K

    JamiiForums Tanzania 11 Tips 4 Financial Independence. Ukifahamu you are good

    Ubarikiwe na bwana...umeandika ukweli uliomchungu..sema mwandiko wako mbaya wengi hawatauelewa na watakuja wachache hapa.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa DCI, Diwani Athumani hakuwa Kachero aliyeiva

    Una maono..unaona kesho
  8. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-restore chats za Whatsapp

    Hapana mkuu.. Sıkuwa natumıa sımu yenye memorycard
  9. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-restore chats za Whatsapp

    Nmefanya hıvyo mara zote sınce 2014..juzi nabadili simu nikaskip option ya backup
  10. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-restore chats za Whatsapp

    Namba ni ile ile na email ile ile
  11. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-restore chats za Whatsapp

    İnasema 'no backup found'
  12. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-restore chats za Whatsapp

    Habar wana janvi.. Nimekosea wakati na instal whatsap na kufanya registration NIME SKIP BACKUP.. naweza pata skiped backup? İli niweze pata info na chat za nyuma?
  13. K

    JamiiForums Tanzania MSAADA: samsung tablet 10.1 inch inagoma ku surf internet

    Habar wana jamvi..natumia samsung tab 10.1 inch..nikiweka chip ya tigo vitu kama browsers,youtube siwez tumia "network error"...whatsap,jamii forum,instagram natumia..NATATUA VIPI TATIZO?
Back
Top Bottom