Muhasibu wa Chanzo cha Mabango anasema wametakiwa kukusanya mapato ya shilingi bilioni 3 kwa mwaka mzima kupitia chanzo hicho.
Aidha anaelezea gharama ya kubandika matangazo kwenye gari. Inafikia mpaka sh10,000 Kwa squer feet 1.
Nakumbuka makampuni mengi sana yalikuwa na utaratibu wa kuweka...
Nyie wapiga kelele ndiyo mnazidi kuchochea hili jambo, kwani mkilipuuza mtapungukiwa na nini? Wewe kama ni mzazi jitahidi kulea mwanao katika maadili ya kitanzania. Siyo kupiga kelele wakati hakuna hatua mnachukua katika ngazi ya familia.
Sisi wananchi tunachoata kusikia kwa sasa. 1. Walio husika wamewajibishwa.
2. Warejeshe pesa zote na fidia juu. Sio kubebesha walala hoi mizigo isiyokuwa yao
Kuna uwezekano mkubwa moja kati yenu likuwa amegusa waya wa umeme au eneo alipokuwa palikua na unyevu nyevu ulipita kwenye njia ya umeme, kwaiyo mliposhikana mikono ndiyo umeme ukapata asi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.