Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,421
- 4,729
Ni watu fulani hivi, wajuaji lakini hawajui kama hawajui. Yaani hawajasoma ila wanajua kila kitu!
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikolojia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi na wanajiamini sana!
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikolojia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi na wanajiamini sana!
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu