Kuhusu mambo ya EL kuingia upinzani vichwa vya kuelewa vimeshaelewa mataahira ndio yanataka eti maelezo kwanini kapokelewa! Na wala waelewa hawahitaji hayo maelezo ya kumsafisha. Aliyemsafi kwa hao CCM aongee umbea wake.
Issue sio kulipa kodi tu, tatizo ni matumizi ya hizo kodi, vyanzo vya makusanyo kama ya maduka tu ya kawaida mtaani ambayo yangewekewa utaratibu mzuri na kukusanya kiwango cha kidogo cha kodi kingekua na tija kuliko hiki kinachofanyika sasa.
Na kwa bahati mbaya sana wao ndo wameshikilia uchumi wa TAnzania wanapoona uchaguzi unakaribia wanachukua Dola na shilingi yetu inanyong' onyea. Pia wanajijua sio Watanzania ndo mana hata hawatangazi nia.
Ukiwa unatoa hoja fikiria kama kichwa chako kinajitambua na ufikirie watu unaowasiliana nao (audience) kama huijui kaa kimya ulichokiandika hapo juu ni utumbo tu, ndo mana hata jamaa kauliza Tundu Lisu anaongiza nchi gani?
Tatizo lako na wewe uliwahi kuwa mzinzi manake kama isingejua nyuchi nyingine ungeona hiyo iko bomba mbaya! Shughulika na ulichonacho na tabia yake uliyoipenda ifunike habari ya uchi kwa Jina la Yesu.
Alitukanwa Yesu! Na zaidi ya kumtukana wakamsaliti na kisha wakamuua, Si shabikii matusi bt kama Mungu anatukanwa binadamu si zaidi ya kutunwa, huyu naye eti ni mwislm lakini hawezi kumtukana Pengo umehalalisha kumtukana nani! ?
Nadhani kupiga hapana au ndiyo ni utashi wa mtu na si kwa kuwa nani kaesma nini bali ww umeilewa vipi katiba! Hata hivyo binafsi kwa utashi wangu mizengwe ya bungeni najiuliza kwa nini nguvu kubwa ya kupitisha katiba ilitumika na hadi kupigisha kura wasiokuwepo bungeni, mauno yalivyokatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.