Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Kuongozwa na watu waliosomea Sheria ni janga kubwa!
Dunia nzima nchi zinazoongozwa na wanasheria zina matatizo ya Kiuchumi!
Hawa watu sijui Elimu yao huwa inawafundisha nini, hawana uwezo wa kutatua matatizo kabisa, wao ni bla blah tu lakin kwa bahati mbaya sana ndiyo wajipendekezaji wakubwa kwenye uongozi na Dunia kwa kiasi kikubwa inaongozwa na hawa hawa,ndio maana matatizo hayaishi!
Jaribu kuangalia nchi zote zinazoongozwa na Wanasayansi, Wahandisi au Wanahisabati zinafanya vizuri sana nafikiri imefika wakati na sisi tuachane na hawa watu kwani Elimu yao haiwafundishi kutatua matatizo zaidi ya blah blah tu na wizi kama Tundu Lisu!
Dunia nzima nchi zinazoongozwa na wanasheria zina matatizo ya Kiuchumi!
Hawa watu sijui Elimu yao huwa inawafundisha nini, hawana uwezo wa kutatua matatizo kabisa, wao ni bla blah tu lakin kwa bahati mbaya sana ndiyo wajipendekezaji wakubwa kwenye uongozi na Dunia kwa kiasi kikubwa inaongozwa na hawa hawa,ndio maana matatizo hayaishi!
Jaribu kuangalia nchi zote zinazoongozwa na Wanasayansi, Wahandisi au Wanahisabati zinafanya vizuri sana nafikiri imefika wakati na sisi tuachane na hawa watu kwani Elimu yao haiwafundishi kutatua matatizo zaidi ya blah blah tu na wizi kama Tundu Lisu!