jamaa anajua wanaoponda ni chuki tu na wivu. halafu naona wasomi ndo wana hasira maana wanaona bwana mdogo hakusoma na maisha ametusua wakati wao wamezeekea mashuleni na bado wanazunguka na maabahasha.
wenye ulemavu wa viungo wanaimba na kumsifu Mungu wao wewe umzima lakini unakufuru. ukiambiwa urejeshewe Mama yako na achukue macho na Miguu yote au mikono yote unge chagua nini. Hata mimi nimeondokewa na mzazi mmoja ambae alikua tegemeo langu mpaka sikuendelea na form five lakini kiugumu...
kama wewe una uwezo wa kuumba au kumiliki uzima wa mtu basi atakuomba msamaha lakini kama binadamu amekopeshwa uhai na haulitambui hilo basi uombe msamaha kwa kile ulichokiandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwaulizeni nyie ndugu mnasema majini yalikua ardhini kabla ya binadamu vitabu vinasema Mungu aliumba dunia hii kwa siku saba ikiwemo ardhi na anga , binadamu na viumbe vingine. Sasa majini yalikaa muda gani ardhini maana Quran inasema majini yaliumbwa baada ya ibilisi kujitapa yeye kaumbwa kwa...
Hivi mnao amini Quran mumelogwa au ni kitu gani yaani na usomi wenu mnaweza mkamchambua Mwanasiasa kua ni mwongo papo kwa papo lakini maandishi yaliyopo kwenye Qura yapo tangu hamjazaliwa mnashindwa kuichambua? Yaani nimepitia kwa dakika kadhaa hii Quran nimeona bora nifunike maana...
Ndo maana ya kuja Yesu kristo ilikua ni kurekebisha sheria zote zenye mapungufu kumbuka umeambiwa usiue na wala usihukumu. Nyinyi bado mnakitumia sana hiki kitabu
Uliona wapi mtu kamfukuza malaika wake kama si kumlinda .mnafukiza maudi yanini kama sikulisha majini? Haya swali kama msikitini hakuna majini mbona dada zenu hawashiriki ibaada wakiwa hedhi kama hujui nakueleza au kama mnafichwa leo nitakueleza chakula cha jini ni damu ndo maana dada zenu...
Hayo mnatutupia nyinyi lakini sisi hatuwi na majini maana sio ndugu zetu mnaoswali nao ndo ndugu zenu.pia hawa wanayapata kupitia njia tofauti kama marashi yakutoka uarabuni,na vitu vingine vya kuiga kama mitindo ya nywele na mavazi lakini wakristo hawana urafiki na majini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.