Recent content by Kifuu

  1. K

    UDART wafungua kesi mahakamani kuzuia Serikali isilete muwekezaji mwingine kuendesha mwendokasi

    Ni haki yao maana nyie Serikali mnataka kufanya kila kitu siasa acha mburuzwe mahakamani
  2. K

    Mbowe: Kila hakimu aliyepelekewa jalada la rufaa ya kesi ya Sugu, alisema anaudhuru

    Umesahau nukuu zenu katika magazeti na humu Jamii Forum kipindi cha JK kikwete mlikuwa mnamsifu kagame na kusema tunataka Rais mwenyewe viashiria vya dikteta leo mnazungumza mengine, kwanza nyie ndio mmetuletea uchuro.
  3. K

    Tetesi: Wasafiri wamekwama porini kwa siku tatu, wanahitaji msaada wa haraka

    Hii ni yalini maana niliona Habari Kama hii juzi sehemu nilijibu ili tuweze kufikisha taarifa sahihi
  4. K

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Nakumbuka enzi zile ikiwa zamu yako kuchunga unatamani usikutane nae huyu kiumbe ni noma
  5. K

    Bei juu ya viwanja Dar es Salaam tatizo ni umasikini na mawazo yetu

    Weka namba ya simu nikuelekeze sehemu umeme upo na kumechangamka kwa milioni 4
  6. K

    Laana imenikumba, nimeshuhuudia wazazi wangu wakifanya tendo la ndoa

    Hii ndio hasara ya kukaa na matoto mpaka yanazeekea nyumbani, ondokeni nyumbani mkapange huko mpaka mnaona zenye mvii za wazazi wenu
  7. K

    Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

    nimemuona binti amefanana na binamu yangu ngoja niende
  8. K

    Ushauri: Mwanangu wa kiume uume (mashine) haisimami, mama yake kashauriwa amuonyeshe nyeti kumtibia

    Hiyo ndio tiba pekee hakuna zaidi ya hiyo, ila ujue hata akiwa mkubwa ataendelea huo mchezo
  9. K

    Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

    Zamani tuliambiwa ukila :ndimu na asali unakufa
  10. K

    Wabunge wa CCM wanaoikosoa Serikali kinamna, kwa kutumia vyombo vya habari, kwanini wasitumie cocus yao?

    Ukiona hivyo kwenye cocus wamekosoa imeshindikana, na usifundishe watu nidhamu ya uwoga Sent from my PTM-Z-mini using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom