Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
- Thread starter
- #21
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kuwa kamwe hatuwezi pata maendeleo ya kweli chini ya CCM.Tanzania haiwezi kupata maendeleo sahihi chini ya CCM Hilo halitawezekana kamwe zitakuwa NI Dana Dana hizi hizi kila wakati.