Bei juu ya viwanja Dar es Salaam tatizo ni umasikini na mawazo yetu

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,574
Nimetembe Dar kutafuta viwanja sehem mbali mbali nimegundua kuwa kuna tatizo kubwa na bei ya viwanja kuwa juu kuliko uhalisia wake.

Unapelekwa sehem bado hapajachangamka sana barabara mbovu, hakuna umeme wala maji cha ajabu unaaambiwa kiwanja cha 20*20 milion 15 na kuendelea seriyously?

Ardhi imekua sio kama bidhaa au asset nyingine bali imeonekana ni kama kitu cha kumfanya mtu kuwa tajiri. nimegudua matatizo mawili.

1.Umaskini:huu umepelekea watu kutegemea ardhi kama ni kitu pekee ambacho kinaweza kuwaingizia kipato.

2. Mentality hapa ndo pale wanaamini ardhi ndo kila kitu na mtu akimiliki ardhi ndo kamaliza kila kitu..hapa mtu akiwa na ekari 3 anategemea hiyo hiyo kujenga kununua gari. Hata kazi hataki kufanya.
 
3. Tamaa ya pesa.
Sawa kabisa lakini pia na wanunuzi wengi kupenda eneo ambalo watu wanalikimbilia wakati siku zote yupo hapo hapo mjini alikuwa anapaona mbali (kwa mtaji huu hakuna namna yaani kama ukiona vyuma havijakaa vizuri ni bora kutoka pembezoni hasa kwa hii miji mikubwa)
 
Nimetembe dar kutafuta viwanja sehem mbali mbali nimegundua kuwa kuna tatizo kubwa na bei ya viwanja kuwa juu kuliko uhalisia wake. Unapelekwa sehem bado hapajachangamka sana barabara mbovu, hakuna umeme wala maji cha ajabu unaaambiwa kiwanja cha 20*20 milion 15 na kuendelea seriyously??? ardhi imekua sio kama bidhaa au asset nyingine bali imeonekana ni kama kitu cha kumfanya mtu kuwa tajiri. nimegudua matatizo mawili.
1.Umaskini:huu umepelekea watu kutegemea ardhi kama ni kitu pekee ambacho kinaweza kuwaingizia kipato.
2.mentality hapa ndo pale wanaamini ardhi ndo kila kitu na mtu akimiliki ardhi ndo kamaliza kila kitu..hapa mtu akiwa na ekar 3 anategemea hiyo hiyo kujenga kununua gari. Hata kazi hataki kufanya.
Umesema ukweli kwa sehemu kubwa. Bado watu wengi hasa Dar waamini kuwa kiwanja cha nyumba ni lazima kiuzwe kwa bei juu. Hii ilitakiwa iwe sehemu kama China na India ambako kuna population kubwa. Halafu tatizo lingine ni kuwa sehemu nyingi mpya ambazo ungeweza kununua viwanja kwa bei nzuri hazina huduma muhimu kama umeme, maji , barabara, polisi, hosspital na security ni very poor. Serikali ingekuwa na plan nzuri haya yasingetokea. Pamoja na hayo viwanja kwa sasa hivi bei imepungua kidogo siyo kama enzi za Kikwete. Siku hizi nasikia kuna mpaka viwanja wa kukopesha, mtu unalipa kidogo kidogo kila mwezi au kila wiki.
 
mbona viwanja kibao na bei ni nzuri tu awamu hii
bei nzuri wapi na sh ngapi kwa kiwanja cha 20*20 ??
hapa nazungumzia maeneo unauziwa 20*20 kwa mil 15 hakuna barabara hakuna maji hakuna umeme na mpaka pachangamke labda miaka 7 baadae!
 
Umesema ukweli kwa sehemu kubwa. Bado watu wengi hasa Dar waamini kuwa kiwanja cha nyumba ni lazima kiuzwe kwa bei juu. Hii ilitakiwa iwe sehemu kama China na India ambako kuna population kubwa. Halafu tatizo lingine ni kuwa sehemu nyingi mpya ambazo ungeweza kununua viwanja kwa bei nzuri hazina huduma muhimu kama umeme, maji , barabara, polisi, hosspital na security ni very poor. Serikali ingekuwa na plan nzuri haya yasingetokea. Pamoja na hayo viwanja kwa sasa hivi bei imepungua kidogo siyo kama enzi za Kikwete. Siku hizi nasikia kuna mpaka viwanja wa kukopesha, mtu unalipa kidogo kidogo kila mwezi au kila wiki.
kweli mkuu tatizo lpo kwenye upimaji na wengi wanaamini ardhi lazima ikupe utajiri. ndo maan mtaani utasikia Kauza ardhi hajafanya la maana!
 
Bei ya Viwanja madongo kuinama haijafika 15M hata hiyo 20x20 haijafika 5M,

issue ya Viwanja Dar Ni tatizo la ardhi na mipango miji.....
Vilaza wengi waliopo pale na kukosa ubunifu
wapi huko mkuu naweza pata hata 25*35 kwa mil 3??
 
Nimetembe dar kutafuta viwanja sehem mbali mbali nimegundua kuwa kuna tatizo kubwa na bei ya viwanja kuwa juu kuliko uhalisia wake. Unapelekwa sehem bado hapajachangamka sana barabara mbovu, hakuna umeme wala maji cha ajabu unaaambiwa kiwanja cha 20*20 milion 15 na kuendelea seriyously??? ardhi imekua sio kama bidhaa au asset nyingine bali imeonekana ni kama kitu cha kumfanya mtu kuwa tajiri. nimegudua matatizo mawili.
1.Umaskini:huu umepelekea watu kutegemea ardhi kama ni kitu pekee ambacho kinaweza kuwaingizia kipato.
2.mentality hapa ndo pale wanaamini ardhi ndo kila kitu na mtu akimiliki ardhi ndo kamaliza kila kitu..hapa mtu akiwa na ekar 3 anategemea hiyo hiyo kujenga kununua gari. Hata kazi hataki kufanya.

Kipo cha bei nzuri, Chanika mwisho

img-20180107-wa0000-jpg.735056



img-20180107-wa0000-jpg.735056


SIMU 0716411720

BEI 6.3m
 
Artificial demand and supply kutokana na tu serikali kutopima viwanja mara kwa mara ...unakuta wanakuja na mradi wa viwanja 20,000 wanakaa miaka 10 wanaibuka tena na huku mtaani unakuta watu wana mashamba yao basi ni sherehe tu wanawakatia watu tu tena kwa bei kubwa kutokana na uchache
Viwanja hivyo hivyo serikali wanavyopima vikiwa wala havijatengenezewa barabara viko hovyo lkn ulizia bei yake kwa sq/m
 
bei nzuri wapi na sh ngapi kwa kiwanja cha 20*20 ??
hapa nazungumzia maeneo unauziwa 20*20 kwa mil 15 hakuna barabara hakuna maji hakuna umeme na mpaka pachangamke labda miaka 7 baadae!
Weka namba ya simu nikuelekeze sehemu umeme upo na kumechangamka kwa milioni 4
 
Mwembe mdogo,geza,mwongozo Kigamboni huko viwanja havina mwenyewe ,barabara, umeme kasoro maji tu
Usalama wa kuridhisha ,bei ni reasonable, ukiwa na kivitz chako dakika 20 ushafika mjini, no traffic jam kabisa
 
Back
Top Bottom