Recent content by Kifurukutu

  1. Kifurukutu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kabla ya game mkeka uko wapi
  2. Kifurukutu

    Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

    Mpango WA wazi kabisa Kwanini waliukimbia uwanja wao WA singida kwenda mwanza
  3. Kifurukutu

    DOKEZO Sikonge: Walimu na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiswahilini tunateseka kwa kukosa huduma muhimu

    We mwalimu umelazimishwa? Unakunya vichakani wanafunzi wako utawafundisha nini
  4. Kifurukutu

    DOKEZO Kwanini Shule mpya za Sekondari na hususan za Vijijini hazifundishi Masomo ya ECONOMICS, COMMERCE na BOOKKEEPING?

    Rai yako tumeipokea Wacha kusubiri ajira za ualimu, jiajiri kijana fursa zipo nyingi za kilimo, ufugaji pia tumia elimu yako ya uchumi kufanya biashara
  5. Kifurukutu

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ndivyo anavyoitwa, ulitaka amwitaje
  6. Kifurukutu

    Vijana wa HALAIKI huwa wananufaika na kipi baada ya mafunzo na shughuli ya kiserikali kupita?

    Sasa wapeww vyeti watavifanyia kazi gani Hapa naona kuna kosa hufanyika, huwezi wafanyisha watoto kazi ya malipo, lakini mkono wa pongezi kwa watoto ingekuwa Bora zaidi plus hayo matruck suit
  7. Kifurukutu

    USHAURI kwa Makonda na kampuni za utalii namna ya kukuza utalii jijini Arusha

    Toa hilo picha Wacha kimchanganya yesu na ushenzi
  8. Kifurukutu

    Msaada: Usumbufu wa Makampuni/Mitandao inayokopesha mtandaoni na nini cha kufanya

    Nikahisi unayoapp nyingine mpya maana Kila huko nimepita
  9. Kifurukutu

    Msaada: Usumbufu wa Makampuni/Mitandao inayokopesha mtandaoni na nini cha kufanya

    Mkuu ingependeza zaidi utaje hizo apps nione ambayo sijaikopa nivute pesa Sinaga wasi na pesa zinazojileta namna hii, ukipiga simu napokea sio usumbufu kwangu mbele ya pesa Wakipigiwa watu WA karibu sina chakupoteza maana naishia nao poa
  10. Kifurukutu

    Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

    Hata kwa bachelor anayeishi Dar atatumia nguvu kubwa kuishi tena maisha duni kwa bajeti hii Ulipata nafasi ya maisha ishi
  11. Kifurukutu

    Unawezaje kumuhandle mke mwenye kiburi?

    Amekwambia ameoa goal keeper?
  12. Kifurukutu

    Ushauri: Mwajiri anataka vyeti pamoja na leseni (original) ili anisajili kwenye kituo chake, hii ni sahihi? Nitaweza kuajiriwa serikalini?

    Acha ujinga dogo, vyeti makaratasi weka mezani fanya kazi Serkali haina ajira, unakuja kujuta baadae
Back
Top Bottom