Recent content by Kifurukutu

  1. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Dry Cleaner and Laundry

    Vipi ulifanikowa? Tupe mrejesho
  2. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 3 ni bora ninunue hisa za CRDB au niende Chalinze nikanunue kiwanja?

    Ukidouble pesa yako wewe tu inatosha
  3. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 3 ni bora ninunue hisa za CRDB au niende Chalinze nikanunue kiwanja?

    We pwagu na pwaguzi kweli Kiwanja cha milion 3 leo hii, mwakani july utauza zaidi ya 4m
  4. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Angalieni umbo la hiki kiwanja, maana huyu mtu analia

    Aisee maisha yanaenda kasi sana, ndio bei imefikia huko? Ni kibaha ipi hii maana naambiwa huko na pwani yote ukiwa na milion 2 hukosi 20×20
  5. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania BOXING: Michael Soro amchapa kwa TKO Hassan Mwakinyo. Pambano limechezwa Parc Des Expositions, Abidjan, Ivory Coast. Juni 11, 2026

    Mbona kama jamaa anaonekana sio height ya mwakinyo
  6. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Usifuge Nguruwe bila Kusoma Uzi huu

    Weka na bei zake, gharama za matunzo hadi faida yake
  7. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Wahi Shamba zuri sana linauzwa lipo Kisarawe

    Milion mia tano kwa pori haiwezekani
  8. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja king’azi Malamba

    Bei kama kiwanja kipo posta
  9. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Update: Biashara ya mbao kutoka Njombe kwenda mikoa mingine kama Dar es Salaam na Dodoma

    Nije na mtaji kiasi gani niweze kutoa mzigo huko kwenda dar?
  10. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania KERO Maajabu! Goba Mageti hadi mtaa wa Muhimbili, Dar es Salaam eneo hili halina mtandao

    Igweeeeeee Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa...
  11. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Maandamano Bila Kikomo: Serikali Ishinikizwe imwachie Huru Tundu Lissu

    Katika mazingira ya kisiasa ambapo haki za msingi za raia zinaendelea kukandamizwa, maandamano ya kiraia yanabaki kuwa njia halali na ya mwisho ya wananchi kudai haki yao. Kufuatia kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanasiasa mashuhuri Mhe. Tundu Lissu – bila msingi wa haki na kwa nia ya kisiasa –...
  12. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Serikali iko Kimya, Watanzania walioko IRAN na ISRAEL hawajui Hatima yao!!

    mtanzania unaendaje kuishi iran na israel? bora uwe machinga tu
Back
Top Bottom