Rai yako tumeipokea
Wacha kusubiri ajira za ualimu, jiajiri kijana fursa zipo nyingi za kilimo, ufugaji pia tumia elimu yako ya uchumi kufanya biashara
Sasa wapeww vyeti watavifanyia kazi gani
Hapa naona kuna kosa hufanyika, huwezi wafanyisha watoto kazi ya malipo, lakini mkono wa pongezi kwa watoto ingekuwa Bora zaidi plus hayo matruck suit
Mkuu ingependeza zaidi utaje hizo apps nione ambayo sijaikopa nivute pesa
Sinaga wasi na pesa zinazojileta namna hii, ukipiga simu napokea sio usumbufu kwangu mbele ya pesa
Wakipigiwa watu WA karibu sina chakupoteza maana naishia nao poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.