Biashara ya Dry Cleaner and Laundry

Biashara ya Dry Cleaner and Laundry

Marambo

Senior Member
Joined
Jul 26, 2015
Posts
104
Reaction score
69
Jamani,

Naomba kuuliza. Ninatarajia kufungua biashara ya kufua nguo na kupasi. Je ninaweza kupata kipato kizuri cha kujikimu?

Hii biashara ili nipate faida, nifanyeje?

Je, nitapataje zile kemikali za kufua bila maji? (DRY CLEANING?)
 
Jamani,

Naomba kuuliza. Ninatarajia kufungua biashara ya kufua nguo na kupasi. Je ninaweza kupata kipato kizuri cha kujikimu?

Hii biashara ili nipate faida, nifanyeje?

Je, nitapataje zile kemikali za kufua bila maji? (DRY CLEANING?)
Vipi ulifanikowa? Tupe mrejesho
 
Jamani,

Naomba kuuliza. Ninatarajia kufungua biashara ya kufua nguo na kupasi. Je ninaweza kupata kipato kizuri cha kujikimu?

Hii biashara ili nipate faida, nifanyeje?

Je, nitapataje zile kemikali za kufua bila maji? (DRY CLEANING?)
Uzi watu wameukacha?
 
Mashine tafuta heavy duties mimi niko nayo ya kg 20 kwa matumizi ya home inapiga kazi vizuri ni miaka 3 sasa sijapata changamoto kampuni ni lg
 
Back
Top Bottom