ata warudie uchaguzi leo seif anashinda labda wamuibie na mzimu wa mashehe unawatafuna ccm wanatapatapa tu na subiri wawatoe masheh watakiona cha moto.kule kazi tu mpaka amamlaka kamili
eti wanadai sababu 1wapo ya kuufuta ni makamishna wa zec kutaka kupigana kwa nini?sababu ya kutaka kupigana haitaji lkn maalim alisema mwanzo huyu jecha hana sifa ya kuwa m/kiti kwani si mwanasheria ila ni qada mkongwe wa ccm alishagombea ubunge ktk ngazi ya kura za maoni. ivi unategemea...
Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kashfa mbalimbali kuhusu lowasa,mara fisadi,mgonjwa,tajiri,anamarafiki matajiri nk.yote hayo waseme lkn wananchi wanamkubali na hatudanganyiki ata awe icu cc ni mamvi tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.