kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,709
HABARINI WANATAALUMA:
Leo tuzungumzie lugha ya kingreza ktk kufundishia darasan HUSUSAN SHULE ZA SEKONDARI, sote tukitambua ya kwamba imekuwa ni changamoto kubwa kwa wanafunzi na walimu ktk kuitumia kwa USAHIH\UFASAHA na kwa UKAMILIFU mkubwa.
Maswali:
tunapoitumia kama lugha ya kufundishia kwa masomo yote {ispokuwa somo la kiswahili na masomo ya lugha nyingnezo}
A.je;lengo kubwa waielewe lugha hii ya kiingreza kwa UFASAHA na kuweza kuizungumza kwa UFANISI zaidi?
B.Je;lengo ni kuelewa maudhui\maada {content\topic} ya somo husika kwa UKAMILIFU na kwa UFANISI zaidi?
C.Au lengo ni kuwafanya wakalili na kuijua misamiati mingi zaidi ya kingreza ambayo wataitumia ktk kujibu maswali yanayotungwa kwa kiingreza kwa masomo husika?
========================
=
hebu tujaribu kufuatilia kwa kina na mjadala huu;
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/805104-ipi-lugha-sahihi-ya-kujifunzia.html#post11944967
karibuni:
Leo tuzungumzie lugha ya kingreza ktk kufundishia darasan HUSUSAN SHULE ZA SEKONDARI, sote tukitambua ya kwamba imekuwa ni changamoto kubwa kwa wanafunzi na walimu ktk kuitumia kwa USAHIH\UFASAHA na kwa UKAMILIFU mkubwa.
Maswali:
tunapoitumia kama lugha ya kufundishia kwa masomo yote {ispokuwa somo la kiswahili na masomo ya lugha nyingnezo}
A.je;lengo kubwa waielewe lugha hii ya kiingreza kwa UFASAHA na kuweza kuizungumza kwa UFANISI zaidi?
B.Je;lengo ni kuelewa maudhui\maada {content\topic} ya somo husika kwa UKAMILIFU na kwa UFANISI zaidi?
C.Au lengo ni kuwafanya wakalili na kuijua misamiati mingi zaidi ya kingreza ambayo wataitumia ktk kujibu maswali yanayotungwa kwa kiingreza kwa masomo husika?
========================
=
hebu tujaribu kufuatilia kwa kina na mjadala huu;
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/805104-ipi-lugha-sahihi-ya-kujifunzia.html#post11944967
karibuni: