Hii mifuko ya hifadhi ya jamii haina msaada kabisa kwa wanachama wake
Nkiskia habari za pspf hadi nahisi kichefuchefu
Jamaa ni waongo na wababaishaji, wanatangaza mafao ambayo hawana, nawachukia sana na nnajuta kuwafahamuHaha hv kwanini? tangu nijaze fomu zao wakati wa ajira sijawahi kanyaga kabisa kwenye ofisi zao mwaka wa tisa huu!!!
Jamaa ni waongo na wababaishaji, wanatangaza mafao ambayo hawana, nawachukia sana na nnajuta kuwafahamu
umenikumbusha july rafiki yangu ndo anaingia 2nd year si akajaza form apate ada ya hyo miaka 2 bwana weeee, kamaliza cjui mahakamani kote anafika halmashauri anaambiwa hao pspf hatuna mkataba nao juu yakukopesha wafanyakazi wetu na hawajatueleza wanawakataje?? karudi tena kule pspf yalivyo yanamjibu ni kweli ndo tunakamilisha makubaliano na tamisemi!!!! kaiacha hyo form walimwambia arudi after 2 days alikanyaga hapo agust nzima
nkamwambia acha kujipa presure nenda crdb chap hzo mil 2.5 utapata pressure bure ukisubiria pspf.
kafwatilua week tu crdb wameshampiga mkwanja wake, ndo hayo magudegude ndo yanampigia juzi eti njooo form ikasainiwe khaaaa
Hilo shirika ni la kisengerema sanaa, yani natamani muujiza utokee nijichomoe huko
VIPi LAPF? tupeni uzoefu wa mafao yao na mikopo kwa ujumla vipi wapi nafuu kati ya pspf na lapf? Kabla sijafanya maamuzi na kujutia baadae.
Asanteni in advance
mwaj waukweli Evelyn Salt na wengine
unaweza jitoa mkuu unafata taratibu tu na hela yako wanatransfer huko unakohamia
LAPF wa ukweli sanaaaa ukiomba hela zako jumatatu, ijumaa ishawekwa tayari
i wish ningejiunga huko ndio bas tena
Okeeee
Pspf wanamkopo wa kuanzia maisha baada ya miezi kama sita baada ya kujiunga nao vipi na hawa lapf wanao kweli?
Hii mifuko ya hifadhi ya jamii haina msaada kabisa kwa wanachama wake
Aliyetuharibia MIFUKO YA JAMII ANAFAHAMIKA, ameruhusu mifuko iwe mingi kama biashara ya mashindano, sasa hii ndiyo hasara ya MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII kuwa mingi na kushindana kama FREMU ZA KARIAKOO.Tunavumilia kua watanzania kwa kweli! Nlikua nawaza kwenda PSPF kumbe nako hakufai!! Wacha tukomae na VICOBA