Hauko serious hata kidogo, kwani wewe ukitaka kumuacha hadi yeye akubali? Sasa ngoja atakapokuacha hatakusubiria ukubali utalia na atakuwa ameshakuacha. Wewe ni mwanaume fanya maamuzi wala usisubiri ushauri kwenye mapenzi hakunaga ushauri ni utashi wako ndo utakufanya ujue cha kufanya.
Sent...
Basi hata wakiite chama cha maendeleo (ccm) mapinduzi yalishaisha siku nyingi sahv watu wanataka maendeleo sio mapinduzi tena. Cjuhi wanataka kumpindua nani tena
Hapa arusha ccm haichaguliki, waache kujichosha, hapa ni chadema tu hapa wakiweka jiwe tutalichagua kuliko ccm, hv ccm hawajajifunza ht uchaguzi wa serikali za mitaa na mwaka ndo wa mwisho kuongoza halmashauri ya jiji hili... Ole wao wañg'ang'añize ushindi patachimbika
Aisee asante kwa ushauri maana ñilikuwa na mpango huo lkn nmesitisha ngoja nisiklizie ajira àjira ya walimu na bachelor yngu nikapambane mtaani kuiko kuvaa kaptula
Mm siwalaumu maana kwa yale wanayoyafanya bungeni ni reference na wapinzani wakiyatumia vizur wakat wa kampeni kuwakumbusha wananchi madudu wanayoyafanya ss hv, bunge litakalofuata baada ya uchaguzi halitakuwa na wapuuzi wa ccm. Yaani huwa wananikera natamani kukutana na mmoja mmoja wao nishoot...
Nilipoona title ya thread hii nikadhani imeandikwa na mtu mwenye fikra huru, nilipoisoma nakukuta maneno km "ccm yangu" sikutaka kuendelea maana nmegundua uko biased na stress za anguko lenu la oktober.. Msijali jiandaeni kisaikolojia kuwa chama cha upinzani msifikrie kuwa kikundi cha kigaidi.
Wanarombo wangekuwe wameichoka chadema kiasi hcho wasingewachagua wenyeviti wa s/mitaa kupitia chama hcho, kapewa shs ngapi huyo? Ccm bwana mnatumia nguvu nyiiingii akili kidogoo,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.