Recent content by kidudukuntu

  1. K

    Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

    Umeanza vizuri maelezo yako ila huko umemalizia kibashite tofautisha kuwaita kwenye vikao vya serikali na vikao vyenu vya kimbeyambeya vya chama
  2. K

    Mfahamu Stephen Hawking, Mwanasayansi Aliyeitwa Mrithi Sahihi wa Albert Einstein

    We kila sehemu unawazaga ukatoliki tu shetani mkubwa weyeee
  3. K

    Huduma za Chuo Kikuu Huria ni hovyo, inabidi wabadilike

    Kivipi mkuu hebu toa elimu kwa umma
  4. K

    KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Siyanga, akataa hongo ya Mil 800

    Mill 800 kuitaja ni rahisi siyo mabuyu ya togwa hayo alimshtaki wapi mana hiyo ni kesi ya rushwa verystraight
  5. K

    Video: Katibu UVCCM Taifa, Shaka afunguka kuhusu kung’olewa kwa Joketi UVCCM

    Kwahiyo leo ndo umejua staha inahitajikaaa fisimadoa kweli wewe
  6. K

    Mh. Rais Tunaomba Utusaidie wakazi wa Dodoma Mtumba

    Naona umejipendekeza weee barua yote uliyoandika hapo na unategemea haki yako itapatikana kila sehemu mheshimiwa endelea kuwa na imani naye hapa unapayukia nini si ndo wanafanya maendeleo mnayotaka hayo subirieni mgegedwe
  7. K

    Athumani Nyamlani ateuliwa kukaimu nafasi ya Wambura TFF

    Shida ni kuwa wambura alikuwa timu malinzi hayo mengine mtajazia wenyewe
  8. K

    ARUSHA: Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo awapigia magoti viongozi wa CHADEMA Jiji la Arusha

    kama mkuu wa mkoa kaona kuwa mambo hayaendi bila ushirikiano kashaona inamuwia vigumu sasa we kila unachoona unawaza interest zako
  9. K

    Mahakama Iringa yatoa dhamana kwa Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi, Abdul Nondo

    Anataka akakazane naye ili athibitishe kuwa anajua kukaaa
  10. K

    Jeshi la polisi kurusha live kesi zinazowahusu wanajeshi hadharani mnatengeneza bomu litakalowalipukia wenyewe

    Athari zake zipi kama mtu ni mwizi asisemwe na ukiona mpaka pale anatangazwa ujue ashafukuzwa kazi na si mwanajeshi tena ni kibuyu fulani anakuwa
  11. K

    Jeshi la polisi kurusha live kesi zinazowahusu wanajeshi hadharani mnatengeneza bomu litakalowalipukia wenyewe

    Hao ni wahalifu kama wahalifu wengine makosa yao hayapelekwi martial court ni makosa ya uhalifu kama mengine tu
  12. K

    TABORA: Baba afungwa kwa kumtia mimba bintiye

    Jaribu uone watu wanafungwaje sheria hiyo ipo na inakataza
Back
Top Bottom