basi si kwa karne hii, huna hela kuchapiwa kunaweza kukuta.. japo wapo w' ke wanaojielewa na kutunza utu wao hata km hela huna atavumilia tu. lakn nachoaminigi uvumilivu wa m'ke una mwsho tu.. ni vyema kwa karne hii m'ume afanye kaz kwa juhudi ili apate vzuri .. Mambo asa hv ni tofauti sn na...
Pesa ni sabuni ya roho hamna mtu asiependa hela. ndio maana siku hiz mpk wanaume wanafanya mambo ya ajabu na aibu kwa ajili ya pesa. kwahyo hamna asiependa pesa. maisha ya sasa pesa kwanza mapenzi baadae.. na lazma utampenda tu mwenye hela, maana kila hitaji lako anakutimizia.. kila mtu wish to...
tunahangaika na haya maisha tupate hela tutumbue maisha, sasa wew ubahili utakuja kufa uachie wenzako hela hzo wagawane wazile tn bila jasho.. na unapotumia na kusaidia wengne ndio unapoongezewa zaidi. tumia usiogope maana hela kwake siyo Benki, hela yake ni matumizi..
mpe mkeo ukweli japo utakuwa mchungu lakn mwarobaini ataumeza tu. japo atamaind mwanzon lakn atakuelewa baadae na mbembeleze kweli mpaka akuelewe kutoka moyoni ili hata huyo mtoto atapokuja kukaa hapo asije akamnyanyasa..
kama hujielewi hisia zako kwake bora usiende! maana utakuwa umemtia moyo mwenzio kuwa ombi lake limekubaliwa.. km huelewi hisia zako kwake heri usimpe tumain kabisa
kweli aisee inaboa mno.. yani unaongea na mtu yupo buzy tu na simu kwamba unachoongea hakina maana.. bora umshikie kwanza ukimaliza kuongea nae unamrudishia
Ure not serious at all.. sikujua wanaume kama nyie wenye akili zao timamu bado mpo na hizo tabia za kitoto.. Jitambue kwanza wewe n mume wa mtu, kwahyo unatakiwa upiganie ndoa yako na siyo kuizidsha kuporomoka kwa uzinzi wako. Maisha hayaendi hvyo chaliii
haitolewagi yote mahali ya mchaga, kwahyo tafuta hata mil moja peleka. ahidi utamalizia nyngne baada ya kuwa vizuri zaidi.. baada hata ya kuoa utamalizia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.