Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Kwenye ubavu wangu alitolewa eva
Mmmh unantongoza kijanja akuuuuu
Kwenye ubavu wangu alitolewa eva
amina mamaHahahaaaa Evelyn Salt nimemsamehe bure bila hata sumni saa mbaya hiz n hii weekend mwenzangu mwache tu.....
Mungu akuzidishie imani, faraja, matamaini na mapendo amini nakwambia umenena kweli ndugu
:: tokaa kuleeee, umetumwa nn ww. una mapepo sio bure::::
:::Nenda zako hukoo, kamwambie Flora mbasha na mumewe, alafu pia Gwajima, una umwa nn
:: Mnatumia dini kucheza na akili za watu, alafu mnatomb..a wake za watu...nina zako...
""" Una pepo sio bure ww
:: tokaa kuleeee, umetumwa nn ww. una mapepo sio bure::::
:::Nenda zako hukoo, kamwambie Flora mbasha na mumewe, alafu pia Gwajima, una umwa nn
:: Mnatumia dini kucheza na akili za watu, alafu mnatomb..a wake za watu...nina zako...
""" Una pepo sio bure ww
"Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtu (Adamu) awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kua nae. Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito naye akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja na akaufanya mwanamke akamleta kwa Adamu".(MWANZO 2:18-20)
Maana yake ni nini basi kumbe linapokuja swala la nani awe mume ama mke ni Mungu mwenyewe anapaswa asimame kukuletea msaidizi wa kufanana na wewe kulala usingizi kwa maisha ya sasa ni kujiheshimu,Imani kwa Mungu na uvumilivu wa kungoja au kusubiri Wakati wa Bwana,ndiyo njia zitakazo kuongoza kumpata Mwenza wa Maisha yako atokae kwa bwana
Kumbuka apandacho mtu ndicho avunacho siku zote usipotulia na kungoja wakati wa bwana jua kuhangaika ni lazima lakini ukisubiri na kua mwaminifu atakupa tu Mungu hufanya kazi pamoja na wampendao. Pia anasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali kuomba na kushkuru na haja zenu zijulikane na Mungu. nawatakia usiku mwema na maandalizi mema ya ibada ya kesho..........
Molembe pita na hapa husband wangu.
Amen.pamoja sana, ni maombi yangu Mungu ashughurike na hawa wanywaviroba wa JF."Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtu (Adamu) awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kua nae. Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito naye akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja na akaufanya mwanamke akamleta kwa Adamu".(MWANZO 2:18-20)
Maana yake ni nini basi kumbe linapokuja swala la nani awe mume ama mke ni Mungu mwenyewe anapaswa asimame kukuletea msaidizi wa kufanana na wewe kulala usingizi kwa maisha ya sasa ni kujiheshimu,Imani kwa Mungu na uvumilivu wa kungoja au kusubiri Wakati wa Bwana,ndiyo njia zitakazo kuongoza kumpata Mwenza wa Maisha yako atokae kwa bwana
Kumbuka apandacho mtu ndicho avunacho siku zote usipotulia na kungoja wakati wa bwana jua kuhangaika ni lazima lakini ukisubiri na kua mwaminifu atakupa tu Mungu hufanya kazi pamoja na wampendao. Pia anasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali kuomba na kushkuru na haja zenu zijulikane na Mungu. nawatakia usiku mwema na maandalizi mema ya ibada ya kesho..........