Habarini wanajukwaa.
Kituo hiki cha afya kipo wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro,kilomita chache kutoka kiwanda cha sukari.
Kuna taarifa za mama wajawazito kupoteza maisha mara kwa mara kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni uzembe wa wakunga.
Kuna mama mjamzito alipoteza maisha mwishoni...
Atoe ushuhuda wa alilolisemea kwa maandiko,kasema Yesu aliimba na kucheza,na hata mitume wake. Hebu atunukulie hiyo mistari ya biblia nasi tupate faida.
Nao wana sehemu ya haki kwa mtoto wao/kaka yao/ mdogo wao. Mshauri awape kwa kiasi na si kugombana kwa sababu amewapa.Tafakari; na wewe iko siku utakuwa wifi/mama mkwe.
Niko Ruaha jirani kabisa na kidatu power plant,mwanzoni mwa wiki iliyopita tulipata fununu kutoka kwa staff wa hapo kuwa muda wowote mitambo itazimwa kutokana na kupungua kwa kina cha maji katika bwawa lao uliosababishwa na kupungua kwa maji ya mto ruaha, niliuliza kwani haiwezekani kuyarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.