Recent content by Kidimilo

  1. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Yule jamaa ni mhuni sana lazima amejipanga kwa lolote hawezi waita bila kujipanga
  2. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    sasa uchukue hatua gani wakati unaishi na mke wa mtu
  3. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Sometimes mambo yanaenda kombo

    Pole ndio tafsiri harisi ya mwanaume ila nakushauri jambo hili ulipaswa kuwa shirikisha marafiki zako wa karibu kabla ya kuja mtandaoni huku hakuna wasaidiaji wengi ni wachambaji
  4. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    kumwamini sio kazi maana matendo yake yako wazi ila ukengeufu wetu ndio shida
  5. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Ulikuwa chawa wa Mwigulu ukatupigia kelele sana sasa naona chawa umehama upande tunakujua
  6. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Nawaunga mkono wazanzibar kuwafurusha watanganyika kutoka Zanzibar

    😂😂😂
  7. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

    Elimu bila maarifa ama upeo ni sawa na upumbavu
  8. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ni hisia na si kuhudumia kwa kutoa hela

    wao hukaita kamzigo😂😂
  9. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ni hisia na si kuhudumia kwa kutoa hela

    siku hizi mapenzi yame geuzwa kitega uchumi watu wanatumia mapenzi kujipatia pesa hapo awali ilikuwa kwa wanawake tu ila sasa mpaka wanaume hivyo basi udanganyifu umeongezeka NB kwa sasa kupata mwenza mwenye mapenzi ya kweli ni ngumu kama kupata samaki kwenye dimbwi la maji ya mvua 😂😂😂
  10. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    majuto ni mjukuu
  11. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Single mother ananing'ang'ania

    mwisho wa mambo yote ambayo nafsi zinavuta huwa sio mzuri jiepushe na hili mapema amini nakuambia utajuta ilisha nitokea nikiwa msumbiji familia ilikuwa mbeya oya
  12. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    hakika kwasababu baba angekuwa hana uwezo kwa akili za wanawake lazima ange mpuuza
  13. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Ukiona Mwanamke anatumia JF basi ana Ujiniaz ndani yake

    kifupi kama wewe ni mtu wa mipasho kimbia haraka hapa so saizi yako😂😂😂
  14. Kidimilo

    JamiiForums Tanzania Ukiona Mwanamke anatumia JF basi ana Ujiniaz ndani yake

    😂😂😂 hapa kama huwezi kujenga hoja na kuitetea ukibanwa mbona kukimbia ni kesho tu
Back
Top Bottom